Ukiacha na kupata magonjwa ya aibu bado uzinzi unaua focus sana

Ukiacha na kupata magonjwa ya aibu bado uzinzi unaua focus sana

Dr hii mbona ni ngumu an wewe no nyeto no kulana
Ahahahaha aiseee hii tunasema kijiko cha moto kuliko sufuria mkuu


Mambo yote mkuu ni nishati (Energy)

Energy ya sex ni kubwa Sana kutoka kwa mwanaume ukiibadilishia Matumizi na ukaielekeza katika ,biashara ,kazi, ubunifu utaona mabadiliko makubwa .


Spirituality and physically
 
Mambo yote mkuu ni nishati (Energy)

Energy ya sex ni kubwa Sana kutoka kwa mwanaume ukiibadilishia Matumizi na ukaielekeza katika ,biashara ,kazi, ubunifu utaona mabadiliko makubwa .


Spirituality and physically
Yaaani kijana nipambane tuu mambo ya se.x mo niachane nayo mazima ni focus....

Sema daaah.....
Sema nini ujue we doctar kumbe jau
 
Yaaani kijana nipambane tuu mambo ya se.x mo niachane nayo mazima ni focus....

Sema daaah.....
Sema nini ujue we doctar kumbe jau

😁😁 unajua hata hiyo semen retention sio kwamba ndo itatawala maisha yako yote.

Ni katika kujiposition na kujiweka Maeneo ambayo hauwezi kufika kirahisi.

Mfano unajua kuwa semen retention inafungua pia root chakra?
 
Labda egg retention... 😆 😆 😆
Nasikia kuna kukojoa ati🙄
20240704_185140.jpg
 
😁😁 unajua hata hiyo semen retention sio kwamba ndo itatawala maisha yako yote.

Ni katika kujiposition na kujiweka Maeneo ambayo hauwezi kufika kirahisi.

Mfano unajua kuwa semen retention inafungua pia root chakra?
Ahahahah yaani dr wee jau...
Mi kwa sasa ngoja niwe nafanya safe tuu hayo mambo ya retention
 
Back
Top Bottom