DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
- Thread starter
-
- #21
Dr hii mbona ni ngumu an wewe no nyeto no kulana
Ahahahaha aiseee hii tunasema kijiko cha moto kuliko sufuria mkuu
Ahahahhahah mkuu naomba nikuulize kituAkija bila gadi unagawa wastani kwa idadi
Yaaani kijana nipambane tuu mambo ya se.x mo niachane nayo mazima ni focus....Mambo yote mkuu ni nishati (Energy)
Energy ya sex ni kubwa Sana kutoka kwa mwanaume ukiibadilishia Matumizi na ukaielekeza katika ,biashara ,kazi, ubunifu utaona mabadiliko makubwa .
Spirituality and physically
π UlizaAhahahhahah mkuu naomba nikuulize kitu
Sitaki kuamini kuwa wewe ni kijana wa hovyo...π Uliza
Sasa ufafanue watu wapige bila kumwaga.Hamna mkuu
Semen retention unabadilisha matumizi ya nishati na kuielekeza sehemu Fulani ili ufikie malengo Fulani nikujizuia kufanya ejaculation
Yaaani kijana nipambane tuu mambo ya se.x mo niachane nayo mazima ni focus....
Sema daaah.....
Sema nini ujue we doctar kumbe jau
Mwanaume usipo ejaculate faida yake ni nini?Hamna mkuu
Semen retention unabadilisha matumizi ya nishati na kuielekeza sehemu Fulani ili ufikie malengo Fulani nikujizuia kufanya ejaculation
Nasikia kuna kukojoa atiπLabda egg retention... π π π
Umenifanya nicheke kwa kukohoaYaaani kijana nipambane tuu mambo ya se.x mo niachane nayo mazima ni focus....
Sema daaah.....
Sema nini ujue we doctar kumbe jau
Ahahahah yaani dr wee jau...ππ unajua hata hiyo semen retention sio kwamba ndo itatawala maisha yako yote.
Ni katika kujiposition na kujiweka Maeneo ambayo hauwezi kufika kirahisi.
Mfano unajua kuwa semen retention inafungua pia root chakra?
Dr wetu anazinguwa ujue ahahahahUmenifanya nicheke kwa kukohoa
True ukiwekeza kwenye. .... Hela hairudi hata maisha yanakuwa mafupi sana chukueni hatuaKama unatafuta mafanikio au kazi au kusimamisha Empire yako ebu fanya semen retention then utanipa majibu.
ππππ mkojo huo ni rahis kuuretent..maana ni akili tuu kwa kushirirkisha ubongo...Nasikia kuna kukojoa atiπView attachment 3033770
Tena sio kijana mimi. Ni mtu mzima tu. Muhimu hakuna tusi hapo. Pia sio kila muda kujifanya sirias saana. Mwisho hayo sio maneno yangu. Nimenukuu tu.Sitaki kuamini kuwa wewe ni kijana wa hovyo...
Mbona kama ni mtu na heshima zako ila kwa ile comment yako inanipa ukakasi ahahahaha
Aahahahaha ndo wale watu wazima ambao kila siku nakimbizna nao humu sio ()Tena sio kijana mimi. Ni mtu mzima tu. Muhimu hakuna tusi hapo. Pia sio kila muda kujifanya sirias saana. Mwisho hayo sio maneno yangu. Nimenukuu tu.