Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Loh unakua chakra tena? πππ unajua hata hiyo semen retention sio kwamba ndo itatawala maisha yako yote.
Ni katika kujiposition na kujiweka Maeneo ambayo hauwezi kufika kirahisi.
Mfano unajua kuwa semen retention inafungua pia root chakra?
Uache mbususu mbunye papuchi? Utakuwa mgonjwa labdaKama unatafuta mafanikio au kazi au kusimamisha Empire yako ebu fanya semen retention then utanipa majibu.
Sasa mtu akae muda gani katika semen retention?Mambo yote mkuu ni nishati (Energy)
Energy ya sex ni kubwa Sana kutoka kwa mwanaume ukiibadilishia Matumizi na ukaielekeza katika ,biashara ,kazi, ubunifu utaona mabadiliko makubwa .
Spirituality and physically
Sasa mtu akae muda gani katika semen retention?
Na sisi pia??Kama unatafuta mafanikio au kazi au kusimamisha Empire yako ebu fanya semen retention then utanipa majibu.
Evelyn Salt njoo mwambie kijana ale kumar patesh
πππππHivi unadhani semen retention pekee Inatosha?
Kwanini hamtaki watu wat*mban*?
Hahaha Hapana aisee jamaa kaongea fact sana yaan ukiwa unagongagonga sana ata hauwaz vizur aisee Yaan unakua dormant akili haifanyi kazi kabisaHivi unadhani semen retention pekee Inatosha?
Kwanini hamtaki watu wat*mban*?
Mafanikio yanawahusu wanaume, wanawake Mafanikio ya nini?Kwa wanawake wao wafanye nini retention?
Hahaha bro!Kula km kula km kijana πΉ
Kuna watu wana semen Kaliii vibaya mno kupitia unavyo fikiri DrKama unatafuta mafanikio au kazi au kusimamisha Empire yako ebu fanya semen retention then utanipa majibu.
Salama bro.....Hahaha bro!
Za asubuhi popote unapopatikana!! π
DR HAYA LAND ujumbe wako huu hapaKula km kula km kijana πΉ
Akuuu?????? AiseeAhahahah yaani dr wee jau...
Mi kwa sasa ngoja niwe nafanya safe tuu hayo mambo ya retention akuuu
Kama una mke jidanganye kufanya hiyo semen retention yako utatombewa mke ata na muuza dagaa mcheleππππKama unatafuta mafanikio au kazi au kusimamisha Empire yako ebu fanya semen retention then utanipa majibu.
Mtoa mada yupo sahihi sana hata mimi sioni sababu ya kutoa mbegu ovyo pasipo malengo ya kuzaliana ,sema yeye ajaelezea upande wa wanawake tuMafanikio yanawahusu wanaume, wanawake Mafanikio ya nini?
Ulishawahi kusikia humu, wanaume wana gundu? Ila wanawake je ?
To misogynist ni aheri ulale na shoga watakusamehe ila ukilala na mwanamke wataanza kanuni na vipengele kibao!
ππππ
(Reply yangu sehemu ya mwisho haihusiani na mada)