Ukiacha ya juzi haya aliyoyakoroga kwa kuropoka hovyo, Lisu is smart! The smartest Tanzanian Ever

Ukiacha ya juzi haya aliyoyakoroga kwa kuropoka hovyo, Lisu is smart! The smartest Tanzanian Ever

Huo ndio ukweli, ukweli usiopingika.

Tatizo ni kuwa Mgema akisifiwa, Tembo hulitia maji!
Wala siyo 'the smartest Tanzanian ever', hizo sifa kampeni Mbowe, siyo Lisu, kwetu Lissu anaaminika, labda tuiweke hivyo ndiyo mtaelewa.

Tunaomuunga mkono hatumuabudu bali tunatambua uwezo wake katika nyakati zilizopo.

Strength na mapungufu yake vyote vinahitajika kama hasi na chanya zinavyohitajka katika kuwasha umeme ili kupata nishati.
 
Wala siyo the smartest Tanzanian ever, hizo sifa kampeni Mbowe, siyo Lisu, kwetu Lissu anaaminika, labda tuiweke hivyo ndiyo mtaelewa.

Tunaomuunga mkono hatumuabudu bali tunatambua uwezo wake kati nyakati zilizopo.
Strength na mapungufu yake vyote vinahitajika kama hasi na chanya zinavyohitajka ili kuwasha umeme na kupata nishati.
Tume pakijinja hapa hapa,hapo zimefika kwingine zifikishe wewe.
 
Wala siyo the smartest Tanzanian ever, hizo sifa kampeni Mbowe, siyo Lisu, kwetu Lissu anaaminika, labda tuiweke hivyo ndiyo mtaelewa.

Tunaomuunga mkono hatumuabudu bali tunatambua uwezo wake kati nyakati zilizopo.
Strength na mapungufu yake vyote vinahitajika kama hasi na chanya zinavyohitajka ili kuwasha umeme na kupata nishati.
Neno la hekima
 
Wala siyo the smartest Tanzanian ever, hizo sifa kampeni Mbowe, siyo Lisu, kwetu Lissu anaaminika, labda tuiweke hivyo ndiyo mtaelewa.

Tunaomuunga mkono hatumuabudu bali tunatambua uwezo wake katika nyakati zilizopo.

Strength na mapungufu yake vyote vinahitajika kama hasi na chanya zinavyohitajka ili kuwasha umeme na kupata nishati.
I second you Mundu gwa Kyala
 
Wala siyo the smartest Tanzanian ever, hizo sifa kampeni Mbowe, siyo Lisu, kwetu Lissu anaaminika, labda tuiweke hivyo ndiyo mtaelewa.

Tunaomuunga mkono hatumuabudu bali tunatambua uwezo wake katika nyakati zilizopo.

Strength na mapungufu yake vyote vinahitajika kama hasi na chanya zinavyohitajka ili kuwasha umeme na kupata nishati.
Well
 
Mbowe kama ajashiba kwenye sahani awezi kushiba kwenye kijiko ni mda wa kuwaachia kijiti wengine hata kama sio TL ila HATUPISHE.
Kuachiana madaraka ni process na mfumo. Chadema mliondoa kwa mbwembwe ukomo wa Mwenyekiti kukaa madarakani. Hakuna utaratibu wa jinsi ya kumpata Mwenyekiti Mpya. Unaposema AWAPISHE, anawapisha kihuni tu?
 
Retired ume retire kuwa Pro Mbowe? Kulikoni kusema haya?
Nilisema tangu mwanzo kuwa Lisu is smart, lakini kwa haya ya juzi kuropoka nikam delete katika watu niliowapenda (wanasiasa). Sijarudi nyuma nimemdelete kwenye vocabrary yangu ya wanasiasa wasafi.
 
Back
Top Bottom