Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala siyo 'the smartest Tanzanian ever', hizo sifa kampeni Mbowe, siyo Lisu, kwetu Lissu anaaminika, labda tuiweke hivyo ndiyo mtaelewa.Huo ndio ukweli, ukweli usiopingika.
Tatizo ni kuwa Mgema akisifiwa, Tembo hulitia maji!
Tume pakijinja hapa hapa,hapo zimefika kwingine zifikishe wewe.Wala siyo the smartest Tanzanian ever, hizo sifa kampeni Mbowe, siyo Lisu, kwetu Lissu anaaminika, labda tuiweke hivyo ndiyo mtaelewa.
Tunaomuunga mkono hatumuabudu bali tunatambua uwezo wake kati nyakati zilizopo.
Strength na mapungufu yake vyote vinahitajika kama hasi na chanya zinavyohitajka ili kuwasha umeme na kupata nishati.
Lissu kaingia mtego wa influence peddling kwa Samia na Abdul kupata pasipoti yake na mafao.Huo ndio ukweli, ukweli usiopingika.
Tatizo ni kuwa Mgema akisifiwa, Tembo hulitia maji!
HAJAWAHI kuwa smart. Mtu Mropokaji HAIWEZI kuwa smart unless hatuelewi maana ya neno smart!Huo ndio ukweli, ukweli usiopingika.
Tatizo ni kuwa Mgema akisifiwa, Tembo hulitia maji!
Neno la hekimaWala siyo the smartest Tanzanian ever, hizo sifa kampeni Mbowe, siyo Lisu, kwetu Lissu anaaminika, labda tuiweke hivyo ndiyo mtaelewa.
Tunaomuunga mkono hatumuabudu bali tunatambua uwezo wake kati nyakati zilizopo.
Strength na mapungufu yake vyote vinahitajika kama hasi na chanya zinavyohitajka ili kuwasha umeme na kupata nishati.
Mbowe kama ajashiba kwenye sahani awezi kushiba kwenye kijiko ni mda wa kuwaachia kijiti wengine hata kama sio TL ila HATUPISHE.HAJAWAHI kuwa smart. Mtu Mropokaji HAIWEZI kuwa smart unless hatuelewi maana ya neno smart!
Hongera umeanza kurejesha majeshi nyuma.Huo ndio ukweli, ukweli usiopingika.
Tatizo ni kuwa Mgema akisifiwa, Tembo hulitia maji!
I second you Mundu gwa KyalaWala siyo the smartest Tanzanian ever, hizo sifa kampeni Mbowe, siyo Lisu, kwetu Lissu anaaminika, labda tuiweke hivyo ndiyo mtaelewa.
Tunaomuunga mkono hatumuabudu bali tunatambua uwezo wake katika nyakati zilizopo.
Strength na mapungufu yake vyote vinahitajika kama hasi na chanya zinavyohitajka ili kuwasha umeme na kupata nishati.
WellWala siyo the smartest Tanzanian ever, hizo sifa kampeni Mbowe, siyo Lisu, kwetu Lissu anaaminika, labda tuiweke hivyo ndiyo mtaelewa.
Tunaomuunga mkono hatumuabudu bali tunatambua uwezo wake katika nyakati zilizopo.
Strength na mapungufu yake vyote vinahitajika kama hasi na chanya zinavyohitajka ili kuwasha umeme na kupata nishati.
Kuachiana madaraka ni process na mfumo. Chadema mliondoa kwa mbwembwe ukomo wa Mwenyekiti kukaa madarakani. Hakuna utaratibu wa jinsi ya kumpata Mwenyekiti Mpya. Unaposema AWAPISHE, anawapisha kihuni tu?Mbowe kama ajashiba kwenye sahani awezi kushiba kwenye kijiko ni mda wa kuwaachia kijiti wengine hata kama sio TL ila HATUPISHE.
To me, he is! To you, he is not! Is this Ok...does this make sense?He is smart, but not the smartest Tanzanian Ever!