Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
CCM HATUTAMKI LISSU HATA MSEMEJE. TUNAMTAKA MBOWE ABAKI CHADEMA.LISSU HAFAI ATAUA CHAMA.Huo ndio ukweli, ukweli usiopingika.
Tatizo ni kuwa Mgema akisifiwa, Tembo hulitia maji!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM HATUTAMKI LISSU HATA MSEMEJE. TUNAMTAKA MBOWE ABAKI CHADEMA.LISSU HAFAI ATAUA CHAMA.Huo ndio ukweli, ukweli usiopingika.
Tatizo ni kuwa Mgema akisifiwa, Tembo hulitia maji!
We unadhani yeye hajui anachokifanya na matokeo yake?Lissu kaingia mtego wa influence peddling kwa Samia na Abdul kupata pasipoti yake na mafao.
The smartest Tanzanian would not do that.
Anajua kuwa Watanzania wengi standards zao ziko chini sana kuweza kuona hili kuwa ni tatizo.We unadhani yeye hajui anachokifanya na matokeo yake?
Chadema chini ya mwenyekiti MBOWE CCM itatawala mileleKama ulivyoharibiwa na Lisu