Ukiachana na bei za Saruji, bei ya kupata Kibali cha ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu huko Halmashauri ya Kigamboni ni Tshs 250,000

Mimi wakati nafuatilia kibali cha ujenzi nilicheka sana. Nilipigwa danadana mpaka nikaona bora nihonge tu yaishe maana la sivyo ningemaliza hela yote ya ujenzi kabla kibali hakijatoka.
Kabisa mkuu
 
Kila hatua ni pesa
 
Ulaya mambo yapo hivi
 
Kihere here chako kimekuponza.. Kwa nini uombe kibali? We anza kujenga mpaka uandikiwe kwenye nyumba yako 'Simamisha ushenzi' ndipo uwatafute.

Zamani tulikuwa tunaambiwa, soma mpaka ukute kibao kimeandikwa, 'there is no school for you' ndipo uache.
Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…