Ukiachana na Dar es salaam kuna mkoa wenye madada poa (wanaojiuza) kuishinda Arusha?

Ushawahi kuiacha familia yako kwa zaidi ya mwaka? Ukaishi ugenini?
 
Ushawahi kuiacha familia yako kwa zaidi ya mwaka? Ukaishi ugenini?
Familia ipi? Ya nilikotokea au niliyoainzisha??
Km wazazi hata bible inasema nitawaacha wazazi wangu na nitaungana na mtu mwingine.!
Km ni ya kwangu hiyo pia haisumbui sababu siku nikifa itakuwaje? Ww km umeenda kutafuta maisha wapigie video call hakikisha mpk mbwa wako unaongea nao 😂😂😂

Ukijipata ifate familia yako au rudi uendelee kuishi nayo.!! Halafu kwanza wanaume waongo nyie!! Mbona mnatelekezaga familia zenu mnahamia kwa nyumba ndogo na hamuwi wapweke 🤣🤣🤣
 
Songea kuna mahali inaitwa Mbinga Ase acha kabsaa.
Mbinga uwanja wangu huo nyumbani kwa mama mkubwa. Kuna ki-club kimoja hivi pale stand upande wa geti la kutokea mabasi vidada vya pale nishavitembea sana libolo sema kule ukimwi nje nje kwaiyo condom muhimu
 
Umenikumbusha shivaz aisee nishawahi kutalii sana pale kipindi nipo chuga. Karatu napo anatokea future wife uko siku ya kwanza kwenda bado kidogo moyo ubadilishe maamuzi pale pale stendi unakuta mtoto mzuriiiii unaona kabisa huyu akija mjini atasumbua sana halafu ni muhudumu wa mama ntilie na mwenyewe yupo bize na pilika pilika pale hana habari
 
Nadhan Kahumba Moro n Moja ya sehemu Kongwe Sana ya umalaya Tanzania
 
Ukifika Kahama ndiyo utajua kuwa papuchi hazina thamani, Tabora fika maeneo ya Oxygen, Singida bababara ya Arusha jina la pub nimesahau patakufaa kukata kiu
Singida unazungumzia Mtaa wa Mwenge na Kirika night Club pale kuna ushenzi sana wale hapana kwakweli afu kama kuna mademu classic nipo chimbo hapo Singida mkuu naenda sana
 
Lamomy kumbe wewe ni mwanamke....

Upweke kwa mwanaume ni kitu kibaya sana. Napiga video call naongea nao kila siku na ujinga tunafanya. Ila upweke ni upweke tu ndugu yangu achana na neno upweke ni kitu kibaya sana.....

Imagine huna hata rafiki huna unayeongea naye lugha moja nje ya kazi.
 
Tanga hapana isee dem mnaingia room havui nguo hadi uzime taa au anaenda kuvulia chooni akirudi unashangaa huyu alikuwa na tarkoo limeenda wapi. Unaeza kuhisi umeopoa jini isee.
Mkoa wa Kifala. Mwaka jana nilienda aisee hawana pub ya maana. Ilikua moja inaitwa Chichi nadhani imefungwa.
 
Mkoa wa Kifala. Mwaka jana nilienda aisee hawana pub ya maana. Ilikua moja inaitwa Chichi nadhani imefungwa.
Chichi ina wale bei rahisi zaman kulikuwa na la vida loca mkabala na chichi na la casa chica sijui kama bado ipo kimsingi tanga imefubaa mno
 
Nadhan Kahumba Moro n Moja ya sehemu Kongwe Sana ya umalaya Tanzania
Ilibidi nipitie huu uzi.
Kama Moro haijatajwa, ningejua watu hawajatembea kabisa
 
Wazinzi bhana mnateseka sana
 
Arusha imekuja kwa kasi mno hapo mtaa wa Florida vitoto vidogo kweli vinajiuza
Kwa msiojua Florida ni nyuma ya ofisi za BM coach Arusha
Hapa kuna mahali familia tunakosea na kukosa hofu ya Mungu
 
Tanga Kuna siku nilienda usiku nikafikia clubs kule mjini kati kabisa nyuma ya station ya treni aisee Kuna mashoga balaa Hadi kero ila wao wanaona poa tu
Tanga hapana isee dem mnaingia room havui nguo hadi uzime taa au anaenda kuvulia chooni akirudi unashangaa huyu alikuwa na tarkoo limeenda wapi. Unaeza kuhisi umeopoa jini isee.
 
Flo
Arusha imekuja kwa kasi mno hapo mtaa wa Florida vitoto vidogo kweli vinajiuza
Kwa msiojua Florida ni nyuma ya ofisi za BM coach Arusha
Hapa kuna mahali familia tunakosea na kukosa hofu ya Mungu
Iyo njia ya kupandisha mianzini ukitokea stand kubwa iyo Florida Cha Mtoto Kuna Pinpoint kwa mbele yake mule Kuna malaya balaa😀😀
 
Manyara ni noma Kuna pisi za kimburu zikija mjini kama Dar zitasumbua maana Dar wanaushamba na mademu weupe,kwa mfano yule WA mabasi ya tilisho ukienda kule kama wote,ukichunguza ata mademu wakitoka chugga eti wanapenda kuwa masuper star Dar watu WA Dar washamba sana
 
Yule demu konda wa mabasi alivuma.mtandaoni mpaka unashangaa ana nini special. Nimesoma chuo Arusha miaka mitatu chuga kuna mademu wakali, nimetembelea singida nimetembelea karatu kuna watoto wazuri yaani yule konda anatolewa knock out mapema kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…