sio utafiti bt mitandao ya kijamii yote inatabia za ajabu ajabu ambazo kitaa hazipatikani.Unafanya utafiti kuhusu maisha ya wanajamiiforum ?
Ulitaka niandike Brayani Sipilina?? Au ulitaka nitafute kiswahili cha neno Spilner na Brian?.Jina pia unatumia la kiswahili?
Jr[emoji769]
mungu azidi kukuongoza mkuu.Amini neno langu mimi ...naufahamu uchawi najua kuroga lakini sifanyi hiyo biashara
Hapana hujanikwaza kabisa..nilikuuliza tu nipate kujuaUlitaka niandike Brayani Sipilina?? Au ulitaka nitafute kiswahili cha neno Spilner na Brian?.
Kwenye uhalisia wangu sipendi mtu anayejifanya nadhifu ndani ya kichwa ili kupata mashabiki.
Jina ninalotumia ni kumuenzi marehemu aliyetumia jina hilo kwenye uhusika wake katika masimulizi ya picha.
Samahani kama nimekukwaza
Mkuu hizi avatar zetu ni kielelezo tosha kabisa ya maisha na uhalisia wetu nje ya mitandao,,Natumai hamjambo wanabodi,
Wakuu sio siri mitandao ya kijamii imetupatia tabia mpya ambazo katika uhalisia hatuna, tabia hizi za kimtandao zimetufanya tuwe na mbwembwe, show off, chai na mizaha mingi kupitia post na comment zetu.
Tabia za kimtandao mara nyingi hutumiwa na wahusika katika kuitafuta furaha na faraja ambayo inakosekana katika maisha halisi, tabia hii ya kimtandao inamadhara pia coz kuna baadhi huichukulia kua ndo tabia yako halisi, mfano kuna watu huku wanaweza tukana na kutoa maneno ya shombo bt katika maisha ya halisi hawawezi fanya hivo hata wakiudhiwa.
Mfano kuna huyu mwamba ZERO IQ post zake nyingi huzungumzia uchakataji wa papuchi bt unaeza kuta papuchi hizo hua anazichakata hapa mtandaoni kwa maandishi na katika maisha yake halisi ni mtu wa tofauti sana.
Binafsi ukiachana na tabia za kimtandao ni mtu mpole, mkarimu, sina maneno mengi, inshort katika maisha halisi mi ni mtu wa watu.
Je, kwa upande wako ukiachana na tabia za kimtandao we ni mtu wa aina gani?
Kwa mfano mimi avatar yangu inasemaje?Mkuu hizi avatar zetu ni kielelezo tosha kabisa ya maisha na uhalisia wetu nje ya mitandao,,
Fuatilia avatar ya mtu,,,
Fuatilia comments zake,,
Utakubaliana na mm,,lakini kitendo cha mtu kujieleza humu bado ataendelea kudanganya uhalisia,,
Nenda kwenye avatar mkuu..zinajieleza kila kitu..
Upole wa mtu,
Umwamba,
Ustaarabu,
Kukubali yaishe,,
Kutokubali kushindwa,,
Mpambanaji,
Marioo,,
Mdangaji,
Mcharuko,,
Jinsia tata,,
Bushoke,,
Nk
upo sahih mkuu.Mkuu hizi avatar zetu ni kielelezo tosha kabisa ya maisha na uhalisia wetu nje ya mitandao,,
Fuatilia avatar ya mtu,,,
Fuatilia comments zake,,
Utakubaliana na mm,,lakini kitendo cha mtu kujieleza humu bado ataendelea kudanganya uhalisia,,
Nenda kwenye avatar mkuu..zinajieleza kila kitu..
Upole wa mtu,
Umwamba,
Ustaarabu,
Kukubali yaishe,,
Kutokubali kushindwa,,
Mpambanaji,
Marioo,,
Mdangaji,
Mcharuko,,
Jinsia tata,,
Bushoke,,
Nk
Inaonyesha kwnza ndoa yako ni changa,,Kwa mfano mimi avatar yangu inasemaje?
tuzo za nini mkuu.Mimi mtu mpweke sana sina rafiki, simwamini mtu yoyote. Nakunywa sana pombe na uzinzi pia ni mchapakazi hodari sana nina tuzo tatu.
Nalivuruga ila kwa maana mimi ni mama saivi nimeanza tulia na mengi ya kudeal nayona ukiwa huku upoje mkuu
mfanyakazi hodarituzo za nini mkuu.
[emoji23][emoji23]Kuchamba ukimaanisha kuzomea au kuosha nanilii?
no.4 ππ¨Tabia nazoziona si ambazo huwa unazionesha sana ila mimi huwa naziona kwa kutumia jicho la tatu..
1:Mtu makini,mchangamfu unayependa masikhara pia.
2:loyal
3πamoja na uchangamfu wako ila kwako si kila mtu anaweza akawa rafiki.
4.Unaamini sana mungu na unafuata taratibu zote za dini yako kadri uwezavyo(hii ndio sifa ninayoipenda zaidi kuhusu wewe.
Mengine siku nyingine....
Nashukuru umeliona mkuuno.4 [emoji419][emoji375]
Khantwe kama Khantwe,,, mwanamke flani serious hivi asiyependa mazoea ya kijinga. Si rafiki kwa kila mtu.Hebu niambie, wewe ukiambiwa umuelezee khantwe utakuwa na yapi ya kusema?
Hahahaha, duhMkuu hizi avatar zetu ni kielelezo tosha kabisa ya maisha na uhalisia wetu nje ya mitandao,,
Fuatilia avatar ya mtu,,,
Fuatilia comments zake,,
Utakubaliana na mm,,lakini kitendo cha mtu kujieleza humu bado ataendelea kudanganya uhalisia,,
Nenda kwenye avatar mkuu..zinajieleza kila kitu..
Upole wa mtu,
Umwamba,
Ustaarabu,
Kukubali yaishe,,
Kutokubali kushindwa,,
Mpambanaji,
Marioo,,
Mdangaji,
Mcharuko,,
Jinsia tata,,
Bushoke,,
Nk
Hahahaha ,OK OKMkuu hizi avatar zetu ni kielelezo tosha kabisa ya maisha na uhalisia wetu nje ya mitandao,,
Fuatilia avatar ya mtu,,,
Fuatilia comments zake,,
Utakubaliana na mm,,lakini kitendo cha mtu kujieleza humu bado ataendelea kudanganya uhalisia,,
Nenda kwenye avatar mkuu..zinajieleza kila kitu..
Upole wa mtu,
Umwamba,
Ustaarabu,
Kukubali yaishe,,
Kutokubali kushindwa,,
Mpambanaji,
Marioo,,
Mdangaji,
Mcharuko,,
Jinsia tata,,
Bushoke,,
Nk
Hivyo tu mkuu kkkkkkHahahaha ,OK OK