Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
ujinga hausababishwi na vimeleaUjinga
Kweli??Hakuna.
ndio ni mtihani mkubwaKutumia dawa kila siku mtihani sana
Sijui kwa kweli
Kwa sababu hakuna ugonjwa wa kuambukiza tofauti na HIV usiotibika.Kweli??
Tunawezaje kukuamini
Sio mtihani mkubwa.ndio ni mtihani mkubwa
Wewe ni Dr and for real Phd kweli?Yapo mengi Sana mkuu
Kisukari
Pressure
Mawe kwenye Figo (stones)
Yapo mengi Sanaaa mkuu
Fafanua mkuu katika hayo magonjwa tajwa hapo juu Kuna gonjwa la kutilia doubtWewe ni Dr and for real Phd kweli?
Naanza kuingiwa na wasiwasi.
Rudia kusoma kwa utulivu mada Dr. Huenda umeisoma ukiwa na haraka.Fafanua mkuu katika hayo magonjwa tajwa hapo juu Kuna gonjwa la kutilia doubt
True nimesoma kwa haraka alimaanisha magonjwa ya kuambukiza ambayo utatumia dawa in life timeRudia kusoma kwa utulivu mada Dr. Huenda umeisoma ukiwa na haraka.
Nyie ndio mnasababisha JF siku hizi inaonekana siyo home of great thinkers. Kwa nini hamsomi mada mkaelewa?Miamba ni hii hapa
Cancer
Diabetes
Hypertension
N.k Japo miujiza ya kupona ipo ila ni kiduchu
Hapo sasa umeelewa Dr.True nimesoma kwa haraka alimaanisha magonjwa ya kuambukiza ambayo utatumia dawa in life time
Unyumbu,(human herding), a.k.a kujizima dataWakuu
Magonjwa ya kuambukizwa -Magonjwa yanayosababishwa na vimelea kama virus,bakteria na fungus.
Magonjwa yasiyoambukiza
-magonjwa ambayo hayahusishi vimelea fulan kama kisukar pressure magonjwa ya moyo.
Swali je ni ugonjwa gan wa vimelea mtu hulazimika kutumia dawa maisha yake yote?
mtoa thread katumia AMBIGUOUS LANGUAGE 😊Nyie ndio mnasababisha JF siku hizi inaonekana siyo home of great thinkers. Kwa nini hamsomi mada mkaelewa?
mtoa thread katumia AMBIGUOUS LANGUAGE 😊