[emoji123]mbinu zangu kabisa hizi naziona, ndani ya 24 hours huwa ni deal done.Yaani ukiachwa halafu hauna backup utataabika sana unajua ni ngumu sana kupata demu kama huna demu!hakikisha unakuwa na backup (sio mchepuko)ili siku ukisikia nyuma geuga unageuka na backup yako kazi inaendelea!
Hakikisha unamuweka backup kwenye friend zone siku yale yajayo yanafurahisha yakikufika unamtoa kutoka kwenye friend zone hadi bad zone!
Usije ukasema hukuambiwa
[emoji16][emoji16] Huku ukiita Hamidaaa.,Raha ya kuachwa ni kulia ugaregare.
Halafu unaamka unajikung'uta vumbi unapenda tena.
Unaumizwa Tena ila fresh tu. Unapambana kiume.
Backup ni umama na uoga wa maisha. Lol
Hahaah mabaharia siku hizi wapo nchi kavuUkitaka kuinjoi maisha na usiyumbishwe na mahusiano, hakikisha at any time t una wanawake angalau watatu ambao unajitafunia taratibu. Na kati ya hao usiwekeze zaidi ya asilimia 30 ya moyo wako kwa hata mmoja.
Yani hii kauli ya tutafanya kesho huwa inanifanya nipate homa kabisa nakuwa mgonjwa yani hadi anauliza kwani baba leo unaumwa, mbona ipo hivyo.Watoto wa kike hawaelewi ndio maana kwao ni rahisi kusema βsijiskiiβ,βnimechokaβ au tutafanya kesho!
Hzo za kubaka kuku sio hisia tena bali ni uwendawazimuHahahahah laiti ungejua ugumu wa kupambana na genye ukiwa kama dume ndio ungeelewa!
Kwenu nyie si mnakaaga hata miaka mitano kama hujapata mtu wa kukutekenya mbavuni na kutomasa chuchu unadunda tu! Ashki zenu nyie ni mpaka ushikwe shikwe ila kwa sie madume macho tu yanaweza kukuponza πππ! Sometime unaamka tu na kiraruraru mashine haitaki kushuka inataka haki yake sasa kama huna namna ndio utaskia jamaa kabaka kuku, mara mbuzi au kamdandia chizi!
Da realest og karucee, respectRaha ya kuachwa ni kulia ugaregare.
Halafu unaamka unajikung'uta vumbi unapenda tena.
Unaumizwa Tena ila fresh tu. Unapambana kiume.
Backup ni umama na uoga wa maisha. Lol
Ila uwendawazimu huo huletwa na nyege mzee! Call it what you wantHzo za kubaka kuku sio hisia tena bali ni uwendawazimu
Unatetea ujinga hamna cha nyege wala pale uo ni uwendawazimuIla uwendawazimu huo huletwa na nyege mzee! Call it what you want
Miss ya!Da realest og karucee, respect
Ewaaaaa.[emoji16][emoji16] Huku ukiita Hamidaaa.,
Eti eeeh?Kumbe una kiswahili kitamu hivi?
Kipi sasa kutemwa wakati hauna kitu?Hili ndo linaloniandama mpaka sasa hadi kichwa kinauma uongo mbaya
Sio kwamba sina kitu la hasha ila kuna kipindi nilipuuzia michepuko ikafika mahali tukatengana na mwenzangu sikuwa na mbadala kwa hiyo hadi leo miezi mitano niko peke nikijaribu kuaproach nakpuuzia hata sijui kwa nini inakuwa hiviKipi sasa kutemwa wakati hauna kitu?
Cha kwanza kubali hauna kitu. Then kubali kuachika. Then tumia hasira ya kuachwa kisa hauna kitu ikupe nguvu ya kupambana upate kitu.
Ila katika kusaka mapenzi ya kweli, kama yatatagemea wewe kuwa na kitu basi na hapo umefeli. Hakunaga mapenzi ya hivyo. Ya kutegemea solely hicho kitu anachosema Muuza simu used
Sisi wanawake ni wa ajabu sana.Sio kwamba sina kitu la hasha ila kuna kipindi nilipuuzia michepuko ikafika mahali tukatengana na mwenzangu sikuwa na mbadala kwa hiyo hadi leo miezi mitano niko peke nikijaribu kuaproach nakpuuzia hata sijui kwa nini inakuwa hivi
[emoji123]mbinu zangu kabisa hizi naziona, ndani ya 24 hours huwa ni deal done.
Tukiomba ujue tunamaanisha jamani msitufanyie hivyo jela sio kuzuri π π π