Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah mkuu genye zetu wanaume huwa ni hatari sana.Hahahahah laiti ungejua ugumu wa kupambana na genye ukiwa kama dume ndio ungeelewa!
Kwenu nyie si mnakaaga hata miaka mitano kama hujapata mtu wa kukutekenya mbavuni na kutomasa chuchu unadunda tu! Ashki zenu nyie ni mpaka ushikwe shikwe ila kwa sie madume macho tu yanaweza kukuponza 😂😂😂! Sometime unaamka tu na kiraruraru mashine haitaki kushuka inataka haki yake sasa kama huna namna ndio utaskia jamaa kabaka kuku, mara mbuzi au kamdandia chizi!
Eeh sometime inakubidi unyonge mtambo tu maana hamna namna!😅😅😅Daaah mkuu genye zetu wanaume huwa ni hatari sana.
Na bahati mbaya zaidi zinakua mara nyingi na mda huo kupata mbususu ya chap ni kipengele. Mwishoe unajichukulia sheria mkononi
Acha nipambane kwa upyaSisi wanawake ni wa ajabu sana.
Ukitufata kinyonge hutupati ng'o.
Unaweza kuwa huna mia mfukoni ila approach yako tukakuelewa ki hivyo tu yaani.
Acha unyonge wewe. It seems bado unaishi kwenye mahusiano yaliyopita. Angalia mbele changamka.
Acha kabisa unamwambi njoo, anasema ntakuja ata kesho mi si nipo jamani babyEeh sometime inakubidi unyonge mtambo tu maana hamna namna!😅😅😅
Hehehe wanachukulia simpleAcha kabisa unamwambi njoo, anasema ntakuja ata kesho mi si nipo jamani baby
Yaani ukiachwa halafu hauna backup utataabika sana unajua ni ngumu sana kupata demu kama huna demu!hakikisha unakuwa na backup (sio mchepuko)ili siku ukisikia nyuma geuga unageuka na backup yako kazi inaendelea.
Hakikisha unamuweka backup kwenye friend zone siku yale yajayo yanafurahisha yakikufika unamtoa kutoka kwenye friend zone hadi bad zone
Usije ukasema hukuambiwa
Sasa huko kulia na kugaragara ndio umama wenyewe original
Hii haiwezi ku applay kwa sisi wanaumeRaha ya kuachwa ni kulia ugaregare.
Halafu unaamka unajikung'uta vumbi unapenda tena.
Unaumizwa Tena ila fresh tu. Unapambana kiume.
Backup ni umama na uoga wa maisha. Lol
Kunguru asili yao uoga. Hawajui washike lipi.Hii haiwezi ku applay kwa sisi wanaume
Raha ya kuwa koo lazima uwe na mitetea kama yote
Huyu akiwa anataga.
Huyu akiwa anaringa
Huyu akiwa ana vifaranga
Tayari hukosi back up ya mitetea mingine