Ukiambiwa kuna viwanja vya bure uchague tu sehemu ya kujenga na kuishi kati ya Vikindu, Kibaha, Chanika na Bagamoyo, utachagua kujenga wapi?

Hata mkoa wa songwe, njombe,katavi nazo pia hazina manispaa
 
Kibaha and Bogamoyo...


Cc: Mahondaw
Kifupi huko ndo kunafaa, maana watu wengi wameyachagua hayo maeneo.

Inaonekana maeneo mengine hasa pande za kusini mwa mkoa wa Dar es salaam bado yana safari ndefu ya kupata watu wa maana wa kwenda kuishi kule.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣vikindu over bagamoyo?🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣vikindu over bagamoyo?🤣
Mdau anashangaza sana. Kwamba hajui kuwa Bagamoyo ndio Mbweni, Masaki, Salasala, Mikocheni, Goba na Mbezi beach ijayo 😄😃😂
 
Mdau anashangaza sana. Kwamba hajui kuwa Bagamoyo ndio Mbweni, Masaki, Salasala, Mikocheni, Goba na Mbezi beach ijayo 😄😃😂
Sema wewe tena kwa sauti kubwa aisee🙌 Bagamoyo ni uzunguni hakuna mfano. Yani kuna mitaa saizi ni ulaya hasa opposite na eneo
Lote na bandari
 
Sema wewe tena kwa sauti kubwa aisee🙌 Bagamoyo ni uzunguni hakuna mfano. Yani kuna mitaa saizi ni ulaya hasa opposite na eneo
Lote na bandari
Huenda ni mkazi wa huko huko Vikindu, ndomaana amekimbilia kupatetea. Lakin pia inaonekana hajawahi kufika au hata kuisikia Bagamoyo vizuri, ndomana kaandika alichoandika.
 
Inategemea ,
Mfano kama wewe chimbuko ni kusini chagua vikindu,
Kama mzaramo chagua chanika, kama mikoa ya kati na bara chagua kibaha, kama ukanda wa kaskaz chagua Bagamoyo .
Regardless of all preferably nimechagua Bagamoyo.
 
Inategemea ,
Mfano kama wewe chimbuko ni kusini chagua vikindu,
Kama mzaramo chagua chanika, kama mikoa ya kati na bara chagua kibaha, kama ukanda wa kaskaz chagua Bagamoyo .
Regardless of all preferably nimechagua Bagamoyo.
Sisi tuliozaliwa Dar lakin hatuna asili ya Pwani wala kusini huwa tunachagua popote.

Kwangu mimi ukiacha Dar, sehem nyingin ambayo naweza kununua nikajenga ni Kibaha na Bagamoyo tu.
 
Sisi tuliozaliwa Dar lakin hatuna asili ya Pwani wala kusini huwa tunachagua popote.

Kwangu mimi ukiacha Dar, sehem nyingin ambayo naweza kununua nikajenga ni Kibaha na Bagamoyo tu.

Ni kweli,
Kama ni machaguo mawili na mimi ningechagua kama wewe,
Lakini kama ni Chaguo moja ningechagua Bagamoyo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…