Ukiambiwa kuna viwanja vya bure uchague tu sehemu ya kujenga na kuishi kati ya Vikindu, Kibaha, Chanika na Bagamoyo, utachagua kujenga wapi?

Ukiambiwa kuna viwanja vya bure uchague tu sehemu ya kujenga na kuishi kati ya Vikindu, Kibaha, Chanika na Bagamoyo, utachagua kujenga wapi?

Niaje waungwana,

Kama swali linavojieleza hapo juu, ukiambiwa uchague sehemu moja tu ya kujenga kwa ajili ya makazi kati ya Chanika, Kibaha, Vikindu na Bagamoyo ila kiwanja unapewa bure.

Ndugu muungwana hebu tuambie utachagua kujenga na kuishi wapi? Na kwanini?
....No Free Lunch, in the World !.....[emoji57]
 
Niaje waungwana,

Kama swali linavojieleza hapo juu, ukiambiwa uchague sehemu moja tu ya kujenga kwa ajili ya makazi kati ya Chanika, Kibaha, Vikindu na Bagamoyo ila kiwanja unapewa bure.

Ndugu muungwana hebu tuambie utachagua kujenga na kuishi wapi? Na kwanini?
Jenga nyumba kinondoni ila watoto wanunulie vikindu mpaka wakikua tayari vina thamani.
 
Bagamoyo. Mostly sababu ni home huko.
Kwahiyo imesema Bagamoyo kwa sababu ni nyumban au umeona tu kunafaa kwa sifa zake? Namaanisha hata kama nyumban ingekuwa sio Bagamoyo bado ungeona kunafaa au ungechagua kwengine?
 
Kwanini ume point Vikindu mkuu au tayari una eneo kule?
Hapana mkuu sina eneo ila nilikuwa nafanya kazi maeneo ya kisemvule kwa hyo naijua vizuri geographia ya huko pametulia sana maana marafiki zangu wengi walikuwa na viwanja maeneo hayo na mpera ni sehemu nzuri huko ndio samata ana eneo kubwa na jingine juzi tu aliamua kujenga msikiti.
 
Twende kibaha Mzee kama tuanapenda privacy na utulivu..Bagamoyo kama tunataka kuwa karibu na upepo wa bahari tofauti na hapo vikindu Haina tofauti na mtwara.
 
Niaje waungwana,

Kama swali linavojieleza hapo juu, ukiambiwa uchague sehemu moja tu ya kujenga kwa ajili ya makazi kati ya Chanika, Kibaha, Vikindu na Bagamoyo ila kiwanja unapewa bure.

Ndugu muungwana hebu tuambie utachagua kujenga na kuishi wapi? Na kwanini?
Vikindu, the best place to be...
 
Hapana mkuu sina eneo ila nilikuwa nafanya kazi maeneo ya kisemvule kwa hyo naijua vizuri geographia ya huko pametulia sana maana marafiki zangu wengi walikuwa na viwanja maeneo hayo na mpera ni sehemu nzuri huko ndio samata ana eneo kubwa na jingine juzi tu aliamua kujenga msikiti.
Hapa nimekuelewa vema mkuu.
 
Twende kibaha Mzee kama tuanapenda privacy na utulivu..Bagamoyo kama tunataka kuwa karibu na upepo wa bahari tofauti na hapo vikindu Haina tofauti na mtwara.
Hahaha mkuu soma comment namb 315 na 317. Nina amini utashangazwa na hiki ulichoandika hapa.
 
Back
Top Bottom