Ukiambiwa leo ni siku ya mwisho, utafanyaje

Ukiambiwa leo ni siku ya mwisho, utafanyaje

Ibrahimeliza

Member
Joined
Nov 25, 2020
Posts
37
Reaction score
26
Hivi ukiambiwa leo ndosiku yako ya mwisho duniani, utaimaliza vipi? Utaiishi vipi hiyo siku yako? Utafanya nini? Utaacha nini?
 
Nadhani kutandaza miti, grilled pok na whiskey ndio itakua setting alarm kichwani mpaka malaika mkata umeme anakuja kufanya yake
 
Hiyo taarifa natamani nipewe asubuhi maana nyumbani ni mbali.
1. Hata kama sina hela siku hiyo lazima hela ipatikane nipande ndege ndo njia rahisi ya kuwahi kwa mama yangu.

2..mdogo wangu yuko mkoa jirani nitampigia fasta atangulie nyumbani.

3. Ntakuwa nishampigia mama simu na wadogo zangu wa home kuwa nipo nakuja wanisubiri na mama anipikie kuku🤣 mbinguni hakuna hotel.

4: chap nikiwa natoka humu ndani sitobeba mamizigo nitabeba funguo tu ili msiba ukiisha mama aje kuchukua vitu vyangu. So napitia kanisani kusali niongee na Mungu kwa mara ya mwisho.

5. chap airport, nikiwa safarini ndo muda pekee wa kusali hata rozali.

6.lisaa limoja nitakuwa nishashuka ntampigia shem anijie kuokoa muda so muda huo atakuwa hapo.
7. Masaa mawili /matau kutoka mjini hadi kijijini, so kama saa 7mchana lazima niwe home.
8. Familiya tutakuwa tumekamilika tutapiga msosi ndo nawaambia. Kuwa leo ndo mwisho.

Basi nitawaomba tusali kwa pamoja humo ndani na stori kibao kama kuna mtu anaetaka kumtumia salama marehemu waliotangulia ndo muda huo sasa.

Basii nitamsubiri Israel mtoa roho.nikiwa na familiya yangu mpaka hapo atakapokuja.

N.b. in reality Kifo ni fumbo Mungu hakutaka haya maandalizi yote. Kifo kinauma. Mungu nakuomba mwisho mwema.

Huu uzi dah.
 
Hiyo taarifa natamani nipewe asubuhi maana nyumbani ni mbali.
1. Hata kama sina hela siku hiyo lazima hela ipatikane nipande ndege ndo njia rahisi ya kuwahi kwa mama yangu.

2..mdogo wangu yuko mkoa jirani nitampigia fasta atangulie nyumbani.

3. Ntakuwa nishampigia mama simu na wadogo zangu wa home kuwa nipo nakuja wanisubiri na mama anipikie kuku[emoji1787] mbinguni hakuna hotel.

4: chap nikiwa natoka humu ndani sitobeba mamizigo nitabeba funguo tu ili msiba ukiisha mama aje kuchukua vitu vyangu. So napitia kanisani kusali niongee na Mungu kwa mara ya mwisho.

5. chap airport, nikiwa safarini ndo muda pekee wa kusali hata rozali.

6.lisaa limoja nitakuwa nishashuka ntampigia shem anijie kuokoa muda so muda huo atakuwa hapo.
7. Masaa mawili /matau kutoka mjini hadi kijijini, so kama saa 7mchana lazima niwe home.
8. Familiya tutakuwa tumekamilika tutapiga msosi ndo nawaambia. Kuwa leo ndo mwisho.

Basi nitawaomba tusali kwa pamoja humo ndani na stori kibao kama kuna mtu anaetaka kumtumia salama marehemu waliotangulia ndo muda huo sasa.

Basii nitamsubiri Israel mtoa roho.nikiwa na familiya yangu mpaka hapo atakapokuja.

N.b. in reality Kifo ni fumbo Mungu hakutaka haya maandalizi yote. Kifo kinauma. Mungu nakuomba mwisho mwema.

Huu uzi dah.
Wanawake bhana mmeo sijamuona apo
 
Hiyo taarifa natamani nipewe asubuhi maana nyumbani ni mbali.
1. Hata kama sina hela siku hiyo lazima hela ipatikane nipande ndege ndo njia rahisi ya kuwahi kwa mama yangu.

2..mdogo wangu yuko mkoa jirani nitampigia fasta atangulie nyumbani.

3. Ntakuwa nishampigia mama simu na wadogo zangu wa home kuwa nipo nakuja wanisubiri na mama anipikie kuku🤣 mbinguni hakuna hotel.

4: chap nikiwa natoka humu ndani sitobeba mamizigo nitabeba funguo tu ili msiba ukiisha mama aje kuchukua vitu vyangu. So napitia kanisani kusali niongee na Mungu kwa mara ya mwisho.

5. chap airport, nikiwa safarini ndo muda pekee wa kusali hata rozali.

6.lisaa limoja nitakuwa nishashuka ntampigia shem anijie kuokoa muda so muda huo atakuwa hapo.
7. Masaa mawili /matau kutoka mjini hadi kijijini, so kama saa 7mchana lazima niwe home.
8. Familiya tutakuwa tumekamilika tutapiga msosi ndo nawaambia. Kuwa leo ndo mwisho.

Basi nitawaomba tusali kwa pamoja humo ndani na stori kibao kama kuna mtu anaetaka kumtumia salama marehemu waliotangulia ndo muda huo sasa.

Basii nitamsubiri Israel mtoa roho.nikiwa na familiya yangu mpaka hapo atakapokuja.

N.b. in reality Kifo ni fumbo Mungu hakutaka haya maandalizi yote. Kifo kinauma. Mungu nakuomba mwisho mwema.

Huu uzi dah.
Fumbo sanaaaaa, huzuni
 
Back
Top Bottom