its nice to hear from you dada cheusi mangala!kama unanuka ingebidi hata kama hakutaki akwambie kwa njia ya kistaarabu lkn sio kukwambia kimaringo maana lazima utajisikia vibaya na ingekuwa mie nisingeweza kuendeleza story maana nitajistukia labda anahisi na mdomo wangu unanuka!
fikiria kwamba wewe ni mfanyakazi wa kampuni fulani! Unamtokea mdada/mkaka ambaye unampenda sana na ni mfanyakazi mwenzako. Kwa maringo huyo mdada/mkaka anakujibu kwamba hakutaki kwasababu unanuka kikwapa! Je, hali kama hii ikikukuta utachukua uamuzi gani? Utamtukana? Utampotezea? Utaendelea kupiga nae story au utakata mawasiliano kabisa?
hahaa!usiniambie!Mimi nitajinusa nione kama kweli nanuka au la! Sikubali kirahisirahisi tu...
jamani mnavunja mbavu zangu nyie vijana!sasa akisema bado unanuka je!hahaa lol!nitaendelea kupiga nae story halafu kesho yake nitaoga vizuri na kutia deodorant then namfuata kumuuliza kama bado nanuka
huyo mwenye maringo si atakuogesha na mpira wa maji huku yeye kasimamia kule mbali akiwa kaziba pua!Akisema bado nanuka kama ni mimi nitamwomba akaniogeshe!