Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,487
- 83
Fikiria kwamba wewe ni mfanyakazi wa kampuni fulani! Unamtokea mdada/mkaka ambaye unampenda sana na ni mfanyakazi mwenzako. Kwa maringo huyo mdada/mkaka anakujibu kwamba hakutaki kwasababu unanuka kikwapa! Je, hali kama hii ikikukuta utachukua uamuzi gani? Utamtukana? Utampotezea? Utaendelea kupiga nae story au utakata mawasiliano kabisa?