Ukiambiwa utoke na nani humu utatoka naye?

Ukiambiwa utoke na nani humu utatoka naye?

Kuna huyu anaitwaaa...jina linakuja na kupotea, ana muonekano wa umbo namba nane, mrefu wa wastani, rangi maji ya kunde, hapigi mizinga; ngoja nikimkumbuka nitamtaja.
 
Mwenye masikio na asikie, mm kazi yangu nimemaliza[emoji23][emoji23]

Hapo tumbo joto. Sema atayekusumbua sana niambie[emoji23][emoji23]
Watajaa pm subiri wanakuja 🤣🤣🤣

Wanaotaka kutoka na mimi waje goms ulongoni niwapeleke kumalija tukale gambe
Wakifika banana wanishtue, nitoke na boda mdogo mdogo 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom