Ukiambiwa utoke na nani humu utatoka naye?

Ukiambiwa utoke na nani humu utatoka naye?

Watajaa pm subiri wanakuja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wanaotaka kutoka na mimi waje goms ulongoni niwapeleke kumalija tukale gambe
Wakifika banana wanishtue, nitoke na boda mdogo mdogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pm hata sina habari nayo niliiweka lock, ni mtu mmoja tu ndio ana-access, na yeye hivyo hivyo mm tu ndio na-access[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hii ulongoni itakoma. Bonyokwa imepumzishwa[emoji23]
 
Watu wa Mbweni mna raha sana [emoji1787][emoji1787]
Sisi huku tunakula miguu ya kuku na chachandu la ugwadu limechachuka afu pilipili kali, tunapiga miluzi [emoji1787][emoji1787]
Wewe unavyopenda pilau, sema unalijulia sana. Pembeni na autumn yako[emoji23][emoji23]
 
kutaja dem jina nikuonesha ubaguzi mi mademu wote humu wenye k mnato natoka nao maana mi ni muumini wa utamu kunoga.kwahiyo mademu wote humu naomba mtoke namimi mnipe utamu kunoga
 
Back
Top Bottom