Ukiambiwa utoke na nani humu utatoka naye?

Kuna huyu anaitwaaa...jina linakuja na kupotea, ana muonekano wa umbo namba nane, mrefu wa wastani, rangi maji ya kunde, hapigi mizinga; ngoja nikimkumbuka nitamtaja.
 
Mwenye masikio na asikie, mm kazi yangu nimemaliza[emoji23][emoji23]

Hapo tumbo joto. Sema atayekusumbua sana niambie[emoji23][emoji23]
Watajaa pm subiri wanakuja 🤣🤣🤣

Wanaotaka kutoka na mimi waje goms ulongoni niwapeleke kumalija tukale gambe
Wakifika banana wanishtue, nitoke na boda mdogo mdogo 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…