Watu wa Mbweni mna raha sana π€£π€£Jumapili aisee sijui kwa nn linakua poa sana tofauti na siku zingine
π€£π€£π€£Unajua ni kwanini
Wacha wee π€£π€£π€£Tunaenda kula vinavyoliwa π
Nakuja PmAkuu
π au ndio nimeshalewa hizi bia 3Wacha wee π€£π€£π€£
Zitakuwa pombe hizo π€£π€£π€£π au ndio nimeshalewa hizi bia 3
Mi nitatoka na Unique FlowerWakuu ukiambiwa utoke na nani jf utatoka naye mie sina akilini bado kwa maana kila mtu humu anawake nisije logwa nikasumbuka kutafuta k yangu iko wapi??
ππ maana nshaanza kumchangamkia mhudumu hapaZitakuwa pombe hizo π€£π€£π€£
Kutoka kwenda wapi best?Wakuu ukiambiwa utoke na nani jf utatoka naye mie sina akilini bado kwa maana kila mtu humu anawake nisije logwa nikasumbuka kutafuta k yangu iko wapi??
My one and only β₯οΈNdio nani huyo?
Pm hata sina habari nayo niliiweka lock, ni mtu mmoja tu ndio ana-access, na yeye hivyo hivyo mm tu ndio na-access[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watajaa pm subiri wanakuja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanaotaka kutoka na mimi waje goms ulongoni niwapeleke kumalija tukale gambe
Wakifika banana wanishtue, nitoke na boda mdogo mdogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndiyo mtaenda kununuliana maji ya uhai 500mls inatosha
Wewe unavyopenda pilau, sema unalijulia sana. Pembeni na autumn yako[emoji23][emoji23]Watu wa Mbweni mna raha sana [emoji1787][emoji1787]
Sisi huku tunakula miguu ya kuku na chachandu la ugwadu limechachuka afu pilipili kali, tunapiga miluzi [emoji1787][emoji1787]
Heeeh....! Pisi? Au sijasikia vizuriSpika wa bunge anatumia id gan yule pisi kali π
π€£π€£π€£ nimecheka mpk machoziππ maana nshaanza kumchangamkia mhudumu hapa
Wacha wee π€£π€£π€£Pm hata sina habari nayo niliiweka lock, ni mtu mmoja tu ndio ana-access, na yeye hivyo hivyo mm tu ndio na-access[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ulongoni itakoma. Bonyokwa imepumzishwa[emoji23]
Alishatajwa mwanzoni kabisa mwa uzi! Anaye wakutoka naye.Faiza foxy atakosa hata nukta ya mtu wa kutoka naye humu kwasababu ya uzee (kidding)