Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya .. Ijumaa futa ratiba zako zote kuanzia saa 12 jioni hadi saa 3 usiku.
Tunatoka tunaenda out au nje hapo ufukweni kupigwa na upepoNiambie kwanza, tunatoka tunaenda wapi na wapi
Mie ntatoka na weyee,....nikurekebishe mpaka ulikumbuke jina lako la utotoni.....Wakuu ukiambiwa utoke na nani jf utatoka naye mie sina akilini bado kwa maana kila mtu humu anawake nisije logwa nikasumbuka kutafuta k yangu iko wapi??
Imeisha hiyo 🤗🤗,, wewe tena tajiri wanguOya .. Ijumaa futa ratiba zako zote kuanzia saa 12 jioni hadi saa 3 usiku.
UnanijuaMie ntatoka na weyee,....nikurekebishe mpaka ulikumbuke jina lako la utotoni.....
Twenzetu babe
halafu sasa hivi nimeshatoka kule porini.Twenzetu babe
Una nafasi yakk moyoni mwanguKumbe nina secret admire humu[emoji23]