Labda cocochanel ingawa Sina uhakikaWakuu ukiambiwa utoke na nani jf utatoka naye mie sina akilini bado kwa maana kila mtu humu anawake nisije logwa nikasumbuka kutafuta k yangu iko wapi??
🤣🤣🤣🤣Naachaje kuisubiri komenti yako jirani? 😂
Si unaelewa kwako sihemi, sili wala siny***🤣🤣
Pole binadamu wanaringa sana🚮🌚ningemtaja sema anaringa huyo😅
tunajuana mbona 😂🤣🤣🤣🤣
Wewe usizunguke sana hapa!! Jibu swali la maua. Unatoka na nani jf??
Pole sana kamanda 😂ningemtaja sema anaringa huyo😅
Unaogopa kugonganisha magari 🤣🤣🤣tunajuana mbona 😂
we endelea kunichora tu hapa😂Pole binadamu wanaringa sana🚮🌚
😂😂 nisijevunja mioyo ya watu bure, mioyo 😂😂😂Unaogopa kugonganisha magari 🤣🤣🤣
kama wewe tu mwanangu unavofungiwa pm🤣Pole sana kamanda 😂
Hapana, sikuchori jamani. Ila kwanini useme anaringa wakati binadamu wote wanaringa?we endelea kunichora tu hapa😂
Pm haijafungwa kwa ajili yangu, ni kwa ajili ya privacy 😂kama wewe tu mwanangu unavofungiwa pm🤣
We ringa tu 😎Hapana, sikuchori jamani. Ila kwanini useme anaringa wakati binadamu wote wanaringa?
ananiambia eti mimi ni mtoto😥Hapana, sikuchori jamani. Ila kwanini useme anaringa wakati binadamu wote wanaringa?
😂😂😂. Nimecheka halafu leo nina stress vibaya mnoananiambia eti mimi ni mtoto😥
kua serious tuone🤣Pm haijafungwa kwa ajili yangu, ni kwa ajili ya privacy 😂
Mimi ni vile sipogo siriazi
Kunywa maji mengi 🤣🤣🤣😂😂 nisijevunja mioyo ya watu bure, mioyo 😂😂😂
kwenda huko😂😂😂. Nimecheka halafu leo nina stress vibaya mno
Wakuu ukiambiwa utoke na nani jf utatoka naye mie sina akilini bado kwa maana kila mtu humu anawake nisije logwa nikasumbuka kutafuta k yangu iko wapi??