Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,757
- 11,922
😂😂😂 basi mwambie awe anavaa miwaninamuogopa huyo mtu ana macho makali😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 basi mwambie awe anavaa miwaninamuogopa huyo mtu ana macho makali😂
Basi hadi hapo sina cha kukusaidia 😂😂😂Moyo utaelea 😂😂
Kwahiyo nifanyaje😂?Kuringa napo 🤣
na wewe omba ufunguliwe pm😆Mwanaume unaonaje aibu kenge wewe?
Unaanza umwachi 😂😂😂mimi siringi naonaga tu aibu😂
Wakuu ukiambiwa utoke na nani jf utatoka naye mie sina akilini bado kwa maana kila mtu humu anawake nisije logwa nikasumbuka kutafuta k yangu iko wapi??
Ya pm siez leta apa jukwaanna wewe omba ufunguliwe pm😆
utani wa ngumi mwananguUnaanza umwachi 😂😂😂
Si unaona aibu 🤣🤣🤣utani wa ngumi mwanangu
anisubiri tu nimalize shule jamani😅😂😂😂 basi mwambie awe anavaa miwani
Fanya kukitupiaKwahiyo nifanyaje😂?
Nisaidiepo naniiiliu 😎Basi hadi hapo sina cha kukusaidia 😂😂😂
Mumeanza ukahabaWakuu ukiambiwa utoke na nani jf utatoka naye mie sina akilini bado kwa maana kila mtu humu anawake nisije logwa nikasumbuka kutafuta k yangu iko wapi??
hana base kama lako😂 inakua ngumu kumzoeaSi unaona aibu 🤣🤣🤣
Kinini hiko jirani? 🤣🤣Nisaidiepo naniiiliu 😎
Kidude 😂😂Kinini hiko jirani? 🤣🤣
Hao ndo walaini sasa!! Sisi wenye base tuone hivi hivi hatuingiliki kirahisi, muda wote tunawaona km washkaji wenzetu sauti zinafanana 🤣🤣🤣🤣hana base kama lako😂 inakua ngumu kumzoea