Ukiambiwa utoke na nani humu utatoka naye?

Ukiambiwa utoke na nani humu utatoka naye?

Wakuu ukiambiwa utoke na nani jf utatoka naye mie sina akilini bado kwa maana kila mtu humu anawake nisije logwa nikasumbuka kutafuta k yangu iko wapi??
13DA4598-987E-486B-AE52-3D3119691771.jpeg

Toka na mimi mrembo🤣🤣
 
hana base kama lako😂 inakua ngumu kumzoea
Hao ndo walaini sasa!! Sisi wenye base tuone hivi hivi hatuingiliki kirahisi, muda wote tunawaona km washkaji wenzetu sauti zinafanana 🤣🤣🤣🤣

Utashangaa tunakusaidia mpk mistari ya kumpiga manzi 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom