Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Jirani hela yako ntakupa kua na amani, ila subiri kwanza niizungushe mara mbili tatu😃😃Jirani pesa yangu ya mchango utanipa!!
Tugawane hata nusu hasara 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jirani hela yako ntakupa kua na amani, ila subiri kwanza niizungushe mara mbili tatu😃😃Jirani pesa yangu ya mchango utanipa!!
Tugawane hata nusu hasara 🤣🤣🤣
We mbona kavu sana? Sasa hiko kidude na wewe mbona unacho 🤣🤣🤣Sio bi kidude jirani😂
Kidude chenyewr kipo jirani na tumbo 😎
Kinondoni😀😀😀😂😂 makaburi ya wapi
Mbona sina taarifa😂Ningetoka na chombo ya fundi sema sema ashawahiwa
Hayo ya washua tutafukuzwa 😂Kinondoni😀😀😀
Kumbe ipo kwenye mzunguko? Hapo sawa jirani ila ije na faida sasa 😂😂😂Jirani hela yako ntakupa kua na amani, ila subiri kwanza niizungushe mara mbili tatu😃😃
Mhhh😂😂😂😂anisubiri tu nimalize shule jamani😅
Mi nna kidubwana 😂We mbona kavu sana? Sasa hiko kidude na wewe unacho 🤣🤣🤣
🚮🚮🚮🚮Fanya kukitupia
Hapo umenena, sitakuangusha jirani yangu😙Kumbe ipo kwenye mzunguko? Hapo sawa jirani ila ije na faida sasa 😂😂😂
Huna baya siku moja uje utupie kweli nyuma ya keyboard 😂🚮🚮🚮🚮
😀😀Hayo ya washua tutafukuzwa 😂
Kichemshe supu ukinywe jirani 🤣🤣🤣Mi nna kidubwana 😂
Tuende kwingine 😎😀😀
Bila kupepesa macho ningependa nitoke na jimama FaizaFoxy😀😀😀Wakuu ukiambiwa utoke na nani jf utatoka naye mie sina akilini bado kwa maana kila mtu humu anawake nisije logwa nikasumbuka kutafuta k yangu iko wapi??
Hiki kinachemkia kwenye kidude na kinanywewa na mwenye kidude 😂Kichemshe supu ukinywe jirani 🤣🤣🤣
😉Hapo umenena, sitakuangusha jirani yangu😙
Mbona sijui ni nini unazungumzia🌚Huna baya siku moja uje utupie kweli nyuma ya keyboard 😂
Najua ushajua utakachotupa
bado ujasema 😂Mbona sijui ni nini unazungumzia🌚
Au sio😂bado ujasema 😂