Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na ulivyobetuka kijumbulu ningefurahi kutoka bila kujivunga na unique-flower.Wakuu ukiambiwa utoke na nani jf utatoka naye mie sina akilini bado kwa maana kila mtu humu anawake nisije logwa nikasumbuka kutafuta k yangu iko wapi??
HILI nionekane kidogoMbona kuoga😃😅😅
Jitahidi wanasema uogee chumvi ya mawe ukitaka uonekane😃😃HILI nionekane kidogo
Usicheke kwanza mpk nitoke na wewe 😉Hapa na mm naruhusiwa kucheka?
🤣🤣🤣Hii imeenda[emoji23]
Basi nakuja mbweni[emoji23][emoji23]Usicheke kwanza mpk nitoke na wewe [emoji6]
Mdogo ako anafeli 🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23]
Me nipo ulongoni A 🤣🤣🤣Basi nakuja mbweni[emoji23][emoji23]
Kwa hiyo ndio maana ulimuambia yule jamaa oyaa nakuzingua tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Me ntachagua ya wahanga dodoma😂Chagua bas
Anafeli sana, hawa madogo miyeyusho sana[emoji23]Mdogo ako anafeli [emoji1787][emoji1787]
Bado hujakimbia😂🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Haya basi ni wewe😎🤣🤣🤣🙌
Tunaharibu uzi wa watu, ebu taja wa kutoka naye
Hapa jf sio Facebook 🤣🤣🤣Kwa hiyo ndio maana ulimuambia yule jamaa oyaa nqkuzinguq tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Najua unatudharau tunaokaa ulongonj,[emoji23]Me nipo ulongoni A [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wee 🤣🤣🤣Haya basi ni wewe😎
Acha utoto[emoji23]Hapa jf sio Facebook [emoji1787][emoji1787][emoji1787]