Unauhakika gani mimi sio dada yenu.πMi msinisumbue mtajuana mtafute chakorii na sijui utampatia wapi mi naenda kula misele sasa nije nikute mnacheza dama ndo mtaelewa the ngumi iz the nini..π
Mi ndo Kaka yenu..π
mimba yako ilikua na utata ndo maana tuligombana na mama ako bt tulivofanana sina neno karibu sana mwanangu, jisikie huru hapa upo nyumbani kwenu.Mtoto wa nje ya ndoa nipo hapa.Mama kaniambia Baba yangu ndio wewe.
Ulimpa mimba akiwa shule ukamkimbia ila baba hukufanya poa.Mimi mwanao ujue..
Nilikuwa nimekuchunia ujueπ πSasa waite wenzako waje hapa tugawane majukumu tuliyopewa na dingi..π
Ila mwambie kabisa yna2 yale masufuria hawezi kuyaepuka atayaosha tu hata kwa mkono wa bwana.. Joanah leo zamu yake kupika mother kasema.. halafu wewe hakikisha uwanja unafagiliwa na kile kihelehele chako cha uziwanda kiishe leo maswala ya kusema kwa dingi ulinikuta na manzi yaishe leo alasivyo kwenzi takatifu hazitakauka kichwani mwako..
Chakorii dawa yake ipo jikoni inatokota..π
Sasa mtu akaidi maagizo aone..π
Muulize dingi nani first born acha dharau Sasa hivi ntacheza na meno yako..πUnauhakika gani mimi sio dada yenu.π
Kisa..?Nilikuwa nimekuchunia ujueπ π
Hili swali nami nimejiuliza sana!Wake watatu hawakutoshi?
Hivi wanaume wa Dar bado mna uwezo wa kumudu wake zaidi mmoja?[emoji848]
π€£π€£π€£π€£ Joanah njoo umsikie dadako alichosema huku kunihusu
Niliamua tu maana umtukutu kwa dada zakoKisa..?
Haaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tuache aisee....
Tuna ratiba zetu za kula biriani ijumaa
We tutaelewana tu dawa yako imekaribia kuiva..πNiliamua tu maana umtukutu kwa dada zako
Sasa we jichangany mi mtoto wa ujanani wa baba.Muulize dingi nani first born acha dharau Sasa hivi ntacheza na meno yako..π
Dah niliapa sitoangalia tena lakini hii comment yako imenirudisha nyuma tena cheki na "clear history"Mimi nataka wake wawili kwa ajili ya threesome
ππππMume wangu Eli79
Watoto wetu
Heaven Sent
ZoΓ«
Da vinci(dogo sijui anatumia jina gani now[emoji134]
Mtoto wa kambo Hazard CFC
Kaka Kataskopos na SHIMBA YA BUYENZE
Dada Makiseo
Sasa kuna wale ma aunty zangu(panya)
Shunie
Sakayo
Family frends
amu
Hannah
Saint Anne
sumbai
Mnazareth
Aisee dingi yuzazifu Kama mi si first born nitoe kwenye familia yako unaona hili dada lililoshindikana linatakanichenjia..πSasa we jichangany mi mtoto wa ujanani wa baba.