Kuna kale kamsemo mume wa mtu simtaki ila nikimpata simuachi 😂😂[emoji57][emoji57]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mkuu itakusaidia saana anza na hawa wa humuNishatafuta pete fekii...naanza kuivaa sasa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] so unajipitia zakoHuyo anakuwa na tamaa tu za kijinga,we mpaka uambiwe yote hayo unataka nawe akuoe au? Ukishajua ni mume wa MTU au mke wa MTU kubali kula tunda tu na si mahaba menginemengine na hilo tunda ni pale wakati unapopatikana tu.Ndoa ya MTU na ubebibebi ni vitu viwili tofauti
Ndio kwanza nakasikia kwakoKuna kale kamsemo mume wa mtu simtaki ila nikimpata simuachi [emoji23][emoji23]
Uzoefu wa kuhandle familia ni avantage kwenye kuhudumia nyumba ndogo.Ila watramuuuu jamani!! Wanacare sana
Mambo ya experience ndio maana hata kazi hatupati na kwenye mechi pia hiki kigezo kinatumika??[emoji35][emoji35]Uzoefu wa kuhandle familia ni avantage kwenye kuhudumia nyumba ndogo.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wamefanyeje.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waume za watu jamani
Eh....Ila watramuuuu jamani!! Wanacare sana
OhooooooooooIla watramuuuu jamani!! Wanacare sana
Unamchongea mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pesa inahusikaje??Ohoooooooooo
Ila awe na pesa...
Adimu sana hawapatikani kirahisi.Kwanini usitafute mumeo?
WatamuuWamefanyeje.....
Basi ndo ukaweke akiliniNdio kwanza nakasikia kwako
Haya mkuuBasi ndo ukaweke akilini
Kuna ntu umesahau kunkotiIla watramuuuu jamani!! Wanacare sana
Watakua waachana dunia ina mambo balaaKuna ntu umesahau kunkoti