BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Sasa mwanaume wa mtu asiyenapesa wa nini tena?????Pesa inahusikaje??
Asiyejua kuhonga wa kazi gani?
Akapambane na mkewe.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mwanaume wa mtu asiyenapesa wa nini tena?????Pesa inahusikaje??
Wanajua kuhidumia hao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waume za watu jamani
[emoji851][emoji851][emoji28][emoji28] watachoma bandaTusikae pale mashemeji zangu watamwambia wife[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
Mkuu we wakike??Sasa mwanaume wa mtu asiyenapesa wa nini tena?????
Asiyejua kuhonga wa kazi gani?
Akapambane na mkewe.......
[emoji849][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Wanajua kuhidumia hao
@BADILI TABIA, siku hizi umeamua kufunguka asee, safi sana![emoji23][emoji23]Sasa mwanaume wa mtu asiyenapesa wa nini tena?????
Asiyejua kuhonga wa kazi gani?
Akapambane na mkewe.......
Unaweza ambiwa niko na wife kumbe yuko kwa mchepuko mwingine. Anaweza sema nimelala na wife kumbe mke kasafiri na yeye kalala kwingine1.Baby samahani dakika moja, wife anapiga simu.
2.Baby muda umeenda Sana mke wangu atanipigia, wacha niwahi kurudi nyumbani, Kesho saa 12 nitakuwa hapa
3 Baby nataka kuja kulala kwako mke Wangu amefiwa kaenda kwao
4..Baby sintaweza kuja Leo, wife kanibana... Pole kwa kuugua
5.Baby tangulia mbele, nitakukuta... Pale wanakaa shemeji zangu, wakituona pamoja watamuambia wife
6.Unaweza kimbiwa katikati ya sherehe usipewe hata nauli ya bodaboda, kesho unaambiwa sorry darling, si uliona wife alitokea ghafa
7. Mkiwa mnaongea kwa simu kwa mahaba mara unashtukia unaitwa Hamadi na kuagwa fasta., baadae unaambiwa mke wangu alitokea ghafla nikawa sina jinsi
8.Unaweza pitwa barabarani na mvua inanyesha,kesho ukaambiwa nilikuona my love, Ila ningefanya nini, nilikua na mke wangu.
9.Unaweza mpigia simu inaita wee hapokei kumbe yupo na mkewe.
10.Unaweza tamani kuwa nae siku iyo akakwambia nina ratiba na mke wangu leo kuna mahali naenda nae.
11.Unaweza onyeshwa Mali alizo nao na uwezo Wa kuzitumia huna, unaishia kula kwa macho tu.
12.Unaweza ambiwa usinitumie msg wife ataona, huna Uhuru.
13.Unaweza ambiwa tulia niongee na wife anapiga simu.
14.Unaweza ambiwa mda flan usinitafute ntakua na wife, usipige simu.
Ili mwisho wa siku ukija kupewa mimba na kuterekezwa usije na kauli zako za kusema wanaume wote ni mbwa[emoji23][emoji23]na kama utafikia hatua ya kuwaita wanaume wote hivyo basi anza na kumtaja baba yako ili twende sawa maana sometimes baadhi yenu mnakuwaga na maujinga meingi sana tafuten waume zenu kihalali.View attachment 1764418
[emoji57][emoji57] uolewe na weweMme wa mtu ni mtamu sana....
[emoji41][emoji41]@BADILI TABIA, siku hizi umeamua kufunguka asee, safi sana![emoji23][emoji23]
Ndio ukae kwa kutuliaUnaweza ambiwa niko na wife kumbe yuko kwa mchepuko mwingine. Anaweza sema nimelala na wife kumbe mke kasafiri na yeye kalala kwingine
Nioe basi my wangu...😔[emoji57][emoji57] uolewe na wewe
Mkuu huyu mkuu ni mdada au mwanaume@BADILI TABIA, siku hizi umeamua kufunguka asee, safi sana![emoji23][emoji23]
Utaacha kuchepuka??Nioe basi my wangu...[emoji17]
Itategemea dear....Utaacha kuchepuka??
[emoji851][emoji851][emoji851] kweli aisee ili tuwastiriMuwe mnatuvumilia tu jamani, pia tunawashukuru kwa kutuelewa tukiwa katika hayo mazingira
Itategemea na nini[emoji15][emoji44]Itategemea dear....
Huyu kenge yani amejitengenezea mpaka ki-cirlce yani mimi,mke wangu na yeye.Kafanyaje??[emoji2371][emoji2371]