Ukiangalia tambo za mashabiki wa Simba na Yanga kwenye tv utajua kuwa 89% ya Watanzania hawana akili timamu

Ukiangalia tambo za mashabiki wa Simba na Yanga kwenye tv utajua kuwa 89% ya Watanzania hawana akili timamu

Burudani na vituko ni sehemu ya maisha. Ukiona mtu hafanyi burudani wala vituko kama kucheza mziki, kushabikia michezo na siasa au kuimba huyo vituko vyake vinakuaga vya ajabu sana akiwa mwenyewe. Anaweza jiangalia kwenye kioo akaanza kubishana na kivuli chake kuwa yeye ni mrefu zaidi kuliko aliyepo kwenye kioo.
Out of point umewahi ona ulaya watu Derby wanahojiwa wanaongea huo uwehu?
 
Mkuu nakubaliana na wewe lakini naomba niku sahihishe hapo kwenye asilimia. Sio asilimia 89% ni asilimia 88%
 
Ukiona huwezi thamini mawazo na mtizamo wa mwenzako tambua wewe ndie tatizo. JK ni Mnazi wa Yanga lkn alikuwa Rais wako. Bakhresa ni tajiri Mkubwa na Mo ni tajiri Mkubwa anayeweza kukuajiri wewe na Mkeo lkn ni Mnazi mkubwa wa timu za Kariakoo.
Halafu wewe kikaragosi huna a wale be umejaaaa UTI unaleta ujuajii mwiiiiiingi kumbe pimbi tu. Acha watu wafurahie mioyo yao kile inapenda Mkuu
Ushawahi muona jk anaongea pumba?
 
hii point haikua na haja, kila mtu na starehe yake

huenda na wewe ukikutwa kwenye pombe watu watakuita mjinga hivyo hivyo.
Au tukimuona anasoma yale magazeti makubwa yamemfunika uso mzima tunamuona kama lishamba tu
 
Mashabiki wengi wa Simba na Yanga ni wapumbavu kitu kimoja kinachokera. Hawataki ukweli, wana ushabiki maandazi, kejeli, matusi, kukosa uungwana na mambo mengineyo ya kipuuzi. Mfano baadhi ya Simba kumtukana Manara kwa hali yake, mtu mwenye akili timamu hawezi fanya hivyo hata kama Manara ana lugha kali.
Au wiki hii jinsi mashabiki wengi wa Yanga walivyolalamikia TFF kisa CEO wa Simba kaitwa mkutano wa CAF, unakaa unajiuliza hivi huyu mtu shule alienda kunywa uji tu na kuvaa sweta
 
Out of point umewahi ona ulaya watu Derby wanahojiwa wanaongea huo uwehu?
Unaongelea hawa?
images - 2022-08-13T122132.063.jpeg
images - 2022-08-13T122109.932.jpeg
images - 2022-08-13T122051.858.jpeg
download (28).jpeg
 
Mashabiki wengi wa Simba na Yanga ni wapumbavu kitu kimoja kinachokera. Hawataki ukweli, wana ushabiki maandazi, kejeli, matusi, kukosa uungwana na mambo mengineyo ya kipuuzi. Mfano baadhi ya Simba kumtukana Manara kwa hali yake, mtu mwenye akili timamu hawezi fanya hivyo hata kama Manara ana lugha kali.
Au wiki hii jinsi mashabiki wengi wa Yanga walivyolalamikia TFF kisa CEO wa Simba kaitwa mkutano wa CAF, unakaa unajiuliza hivi huyu mtu shule alienda kunywa uji tu na kuvaa sweta
Sizani katika wanaohojiwaga kuna ata aliefaulu form four sizani
 
Ulaya wanaushabiki wa kijinga sana. Sasa hivi wanaingia uwanjani na bendera za kusapoti mashoga.
Ushawahi ona wanahojiwa kuongea kama wendawazimu?
 
Kwa mimi kijana mpumbavu na hana akili ni yule anashabikia chadema, ulevi na uzinzi

NB: KILA MTU NA STAREHE YAKE
 
Out of point umewahi ona ulaya watu Derby wanahojiwa wanaongea huo uwehu?
Watu wanatukna huko hujui mapenzi ya watu walifungwa wakafanya vuruga kuchoma magari fuatilia brazili alipopigwa 7 na German usiwe unajikuta una akili wakati hata elimu haijakukomboa kujua kingereza sio usomi mshamba mkubwa.
 
Wakuu nimeangalia tambo hapa Azamtv yaani Hadi aibu naona mimi watu wazima wanavyojitoa akili .

Inasikitisha sana huenda ndiyo Sababu CCM wanatutawala

Hakika sisi ni wajinga tunaongea pointless sijawahi ona UK, SPAIN au Germany this kind of Rubbish
Avatar yako inanijulisha kuwa weye ni mjinga kuliko hao watanzania uliowaona kwa Azam TV 😂
 
Kwa mimi kijana mpumbavu na hana akili ni yule anashabikia chadema, ulevi na uzinzi

NB: KILA MTU NA STAREHE YAKE
Haujui tu what is democracy anyway pigania unapokula

But every hustle matters
 
Out of point umewahi ona ulaya watu Derby wanahojiwa wanaongea huo uwehu?
Labda kama hufuatilii

Ulaya wanahojiwa na wanaongea mashudu sana. Jaribu kusubiria derby ya uingereza man utd vs Liverpool uone wakihojiwa wanavyoongea. Alafu sio lazima tufanye wanavyofanya ulaya acheni utumwa wa fikra.

Ushabiki hauhitaji usiriazi sana unaondoa ladha. Unaowaona wanaongea pumba nyuma ya pazia ni watu wenye taaluma zao na kazi zao wanaendesha familia zao.
 
Haujui tu what is democracy anyway pigania unapokula

But every hustle matters
Umeona mbona unaingilia matakwa ya watu Kuna unaye mlisha hapo Waite wajinga watoto wako !!! Usiwe mpumbavu wa kujiona smart
 
Back
Top Bottom