Ukiangalia tambo za mashabiki wa Simba na Yanga kwenye tv utajua kuwa 89% ya Watanzania hawana akili timamu

Ukiangalia tambo za mashabiki wa Simba na Yanga kwenye tv utajua kuwa 89% ya Watanzania hawana akili timamu

Watu wanatukna huko hujui mapenzi ya watu walifungwa wakafanya vuruga kuchoma magari fuatilia brazili alipopigwa 7 na German usiwe unajikuta una akili wakati hata elimu haijakukomboa kujua kingereza sio usomi mshamba mkubwa.
Walihojiwa wakaongea pumba vile kama mbunge flani wa CCM?
 
Wanaongea kistaarabu ila matendo ya kiwendawazimu. Halafu hivi unafuatilia mpira wa ulaya kweli? Historia na matukio yao inapingana na ww kuwatumia kama reference.
At least
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Labda kama hufuatilii

Ulaya wanahojiwa na wanaongea mashudu sana. Jaribu kusubiria derby ya uingereza man utd vs Liverpool uone wakihojiwa wanavyoongea. Alafu sio lazima tufanye wanavyofanya ulaya acheni utumwa wa fikra.

Ushabiki hauhitaji usiriazi sana unaondoa ladha. Unaowaona wanaongea pumba nyuma ya pazia ni watu wenye taaluma zao na kazi zao wanaendesha familia zao.
Tena kule wanauana kabisa hajui kitu!
 
Uko sahihi mleta mada..

Sio simba na yanga tu, cheki ushabiki wa muziki, ushabiki katika siasa huko kote watu akili zinawatoka.
Nasapoti mkuu..

Mimi nimekuwa mshabiki wa mpira toka enzi lakini nigundua ni upuuzi ila basi tunafosi tu .Yaani inatokea mtu hauli ,hauna raha unagombana na mwenzio kisa matokeo ya mpira kitu ambacho hauna control nacho huku wachezaji wakipata marupurupu na mechi ikiisha kufurahi na kupeana mikono wakati mwingine.

Miziki huko upuuzi umejaa mtu anakujaza hisia feki anaimba mambo ambayo hayana uhalisia na upuuzi kibao . Wakati mwingine wanatunafkia mtu anaimba anapesa anateseka kapuku unaona umepata faraja kumbe mwenzako anakula bata la nguvu.

Siasa ndio kabisa sina ushabiki wala sijawahi kupoteza nguvu zangu kupiga kura naona maigizo tu haswa hapa bongo..
 
Walihojiwa wakaongea pumba vile kama mbunge flani wa CCM?
Eti mbunge fulani wa ccm mbona unasapot mashoga wa chadema hatusemi? Kwani nje ya ubunge ndo asishabikie mpira kama nn unamlimit mtu
 
Boss embu fuatilia kwanza ndo uponde watanzania wenzako kwa kuwalinganisha na hao. Wale wanahistoria mpaka za visasi vya kuuana sabb za ushabiki.
 
Wakuu nimeangalia tambo hapa Azamtv yaani Hadi aibu naona mimi watu wazima wanavyojitoa akili .

Inasikitisha sana huenda ndiyo Sababu CCM wanatutawala

Hakika sisi ni wajinga tunaongea pointless sijawahi ona UK, SPAIN au Germany this kind of Rubbish
Kweli ss wajinga na jinsi ulivyoweka picha ya Mandonga nakuona mjinga mwingine full full
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Nasapoti mkuu..

Mimi nimekuwa mshabiki wa mpira toka enzi lakini nigundua ni upuuzi ila basi tunafosi tu .Yaani inatokea mtu hauli ,hauna raha unagombana na mwenzio kisa matokeo ya mpira kitu ambacho hauna control nacho huku wachezaji wakipata marupurupu na mechi ikiisha kufurahi na kupeana mikono wakati mwingine.

Miziki huko upuuzi umejaa mtu anakujaza hisia feki anaimba mambo ambayo hayana uhalisia na upuuzi kibao . Wakati mwingine wanatunafkia mtu anaimba anapesa anateseka kapuku unaona umepata faraja kumbe mwenzako anakula bata la nguvu.

Siasa ndio kabisa sina ushabiki wala sijawahi kupoteza nguvu zangu kupiga kura naona maigizo tu haswa hapa bongo..
Mkuu kila kitu kwa kiasi si ushabiki tu. Hata maofisini ukiwa mr YES kuwa kila kitu unachoambiwa na boss wako ni YES unakifanya unakuwa huna tofauti na shabiki anayeshabikia mziki mpaka anaimba imba hovyo.
 
Nasapoti mkuu..

Mimi nimekuwa mshabiki wa mpira toka enzi lakini nigundua ni upuuzi ila basi tunafosi tu .Yaani inatokea mtu hauli ,hauna raha unagombana na mwenzio kisa matokeo ya mpira kitu ambacho hauna control nacho huku wachezaji wakipata marupurupu na mechi ikiisha kufurahi na kupeana mikono wakati mwingine.

Miziki huko upuuzi umejaa mtu anakujaza hisia feki anaimba mambo ambayo hayana uhalisia na upuuzi kibao . Wakati mwingine wanatunafkia mtu anaimba anapesa anateseka kapuku unaona umepata faraja kumbe mwenzako anakula bata la nguvu.

Siasa ndio kabisa sina ushabiki wala sijawahi kupoteza nguvu zangu kupiga kura naona maigizo tu haswa hapa bongo..
Umeongea ukweli mtupu
 
Tambo, majigambo, vibweka, vituko, utani, masihara, kucharurana, nk. Ndio raha ya derby bwana. Anataka derby watu waongee kama wapo kwenye malumbano ya hoja!?
Mara mia wauawane tujue sio kuongea pumba yaani kushindwa kuficha ujinga
 
Eti mbunge fulani wa ccm mbona unasapot mashoga wa chadema hatusemi? Kwani nje ya ubunge ndo asishabikie mpira kama nn unamlimit mtu
Umesoma hadi darasa la ngapi?
 
Ishi maisha yako....
Fanya ukipendacho....
Tambua mipaka yako...

Moja kati ya sifa ya ushabiki ni kutozingatia uhalisia.

Shabiki ataongea chochote ilimradi afurahi tu.

Nasio kosa/ujinga kwa shabiki kuongea bila uhalisia kwa sababu huo ndiyo ushabiki.

Hata Yanga/Simba ikicheza na Real Madrid full kikosi, bado shabiki atatea timu yake hata kama nafsi itamsuta.

All over the world mashabiki hufanana tabia.

Ndiyo maana kuna muda utasikia..

"kwenye hili suala tuondoe ushabiki"
 
Nasapoti mkuu..

Mimi nimekuwa mshabiki wa mpira toka enzi lakini nigundua ni upuuzi ila basi tunafosi tu .Yaani inatokea mtu hauli ,hauna raha unagombana na mwenzio kisa matokeo ya mpira kitu ambacho hauna control nacho huku wachezaji wakipata marupurupu na mechi ikiisha kufurahi na kupeana mikono wakati mwingine.

Miziki huko upuuzi umejaa mtu anakujaza hisia feki anaimba mambo ambayo hayana uhalisia na upuuzi kibao . Wakati mwingine wanatunafkia mtu anaimba anapesa anateseka kapuku unaona umepata faraja kumbe mwenzako anakula bata la nguvu.

Siasa ndio kabisa sina ushabiki wala sijawahi kupoteza nguvu zangu kupiga kura naona maigizo tu haswa hapa bongo..
Bila shaka wewe ulikuwa shabiki wa man utd na ushabiki wako ulikuwa umepitiliza. Baada ya kuona timu inekwenda mrama ukaona uachane na mpira [emoji1787]

Sasa mkuu hutaki watu washabikie mpira, muziki, siasa unataka waishije sasa!? Maana hapa bongo industry nzima ya burudani ipo hapo kwenye hizo vitu.

Hebu kuwa siriaz kdg
 
Back
Top Bottom