[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukiona huwezi thamini mawazo na mtizamo wa mwenzako tambua wewe ndie tatizo. JK ni Mnazi wa Yanga lkn alikuwa Rais wako. Bakhresa ni tajiri Mkubwa na Mo ni tajiri Mkubwa anayeweza kukuajiri wewe na Mkeo lkn ni Mnazi mkubwa wa timu za Kariakoo.
Halafu wewe kikaragosi huna a wale be umejaaaa UTI unaleta ujuajii mwiiiiiingi kumbe pimbi tu. Acha watu wafurahie mioyo yao kile inapenda Mkuu
Ushabiki uko kila mahali duniani.Uko sahihi mleta mada..
Sio simba na yanga tu, cheki ushabiki wa muziki, ushabiki katika siasa huko kote watu akili zinawatoka.
Machizi wa vitendo sio manenoLabda kwa hiyo ccm lakini hata huko Spain,Uk,Germany kuna machizi soka zaidi ya huku...na ndiyo watu huko hununua ticket za msimu mzima
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Shukra mkuuKatika Afrika,Tanzania inashika nafasi ya 9 kwa kuwa na watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri. Ushuhuda wa hilo ni haya ya SIMBA NA YANGA,CCM,MANDONGA na mengine ya hivyo. Kuna watu wazima wanaamka asubuhi breki ya kwanza ni kwenye kibanda cha magazeti na kuanza ubishi wa Azizi Ki,Mayele,na Chama mpaka saa 7 mchana na hao ni watu wana familia. Mpira umeleta ujinga ambao sijapata kuona,mtu anafunga duka kwenda kuangalia Yanga huyohuyo baadaye anashindwa kupeleka marejesho ya mkopo na anakimbia familia. Ukimuuliza anakwambia karogwa. Nashukuru mleta huzi kwa kuliona jambo hilo.
Una maana gani shehe. Unataka akili ya watanzania iwe kama yako au??? Kuna wanachmama wangapi ccm. Simba/yanga...yaani wote wajinga??? wewe ni mpumbavu, huna akiliMtu mzima ukiona anashabikia
Ccm
Simba na Yanga fahamu hayuko sawa kichwani
Hapo imesemwa yanga tu au zote dada mbona hauko makini kwenye matumizi ya ubongo
Nikikupa video zao utakubali tuUshawahi ona wanahojiwa kuongea kama wendawazimu?
Hamna sehemu , nliyosema wewe hupendi mpiraWapi nmesema sipendi mpira?
Usikute wewe ni mmoja walikuwa wanahojiwa wanaongea utumbo
Maama reasoning yako ni kama ya mbw"
Ziwa la mama li tamu hata kama la mbwaLabda kweli kwani we ulifikir kina mama wote duniani wanapendwa kama unavompenda mama ako wengine ni kina mama alafu wazinguaji tu mapenzi yatatoka wapi mwache mwana aendelee kushow love[emoji3060]
Nmeona aibu sana leo