Ukichelewa kidogo mnakufa wote

Ukichelewa kidogo mnakufa wote

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Roadlife. Mko safarini safari ya kwenda mbali mara unamuona dereva wako keshaanza hivi mara apige miayo au anajikunakuna mara katoa mkono nje mara kwenye kiti chake amekaa upande, yaani hatulii basi stuka mara moja mshauri apumzike, vinginevyo hamfiki mbali anawaletea matatizo na pengine mkaishia hapo.
1701775855513.jpg
 
Hakika mkuu, huu ni ushauri safi na umeuleta muda mwafaka, ni mwisho wa mwaka safari zitakua nyingi, hii inaitwa FATIGUE na ipo very deadly, 80%ya ajali inasababishwa na hii kitu, driver ukijisikia umechoka ,park gari upumzike na elewa kwa kila 200km,unatakiwa upumzike, toka nje ya gari, zunguka, kimbia,enjoy the view na cheka sana
 
Ile miwa inayouzwa njiani inasaidia sana kupunguza ajali, inatakiwa dereva ale kwa wingi, inaongeza sukari mwilini na kuupa mwili nguvu, na inasababisha kubanwa na mkojo.

Ukikaa nae dereva mnunulie ya kutosha na umsisitize awe anakula kila baada ya muda sio yote kwa mkupuo.
 
Nakumbuka mwaka 2021 tukielekea kwenye msiba maeneo ya Misigiri-Singida.. Dereva wetu alihama kwenye lane yake ya kushoto, nilisinzia sijui ni kwa muda gani, kufungua macho kama ndoto vile, nikaona TIR la mzigo mbele yetu limewasha taa na honi juu.
Dereva kwa kuona tunakwenda kugongana uso kwa uso, akalichepusha gari pembezoni mwa barabara upande wa kulia.
Bahati yetu hakukuwa na mtaro gari likasimama bila kupinduka. Dereva wa TIR wala hakusimama! ....tukabaki salama.
 
Apumzike lakini ,Mpe maji makubwa cotton zima anywe mpaka mwisho wa safari ili ajisikie kukojoa,Mara kwa Mara kila anapo enda kukojoa ana gain new momentum
kusinzia ni dalili ya uchovu.kwanini hapumziki?

maisha ya watu sio ya kuyafanyia mzaha namna hiyo,unapewa gari ukifika ulikotakiwa unaamliwa kupumzika hotelini mara moja,ndio kwaanza unatafuta mademu,muda wa kugida mipombe,asubuhi huyo kama zombie kwenye usukani watu 60 wamelala wanakutegemea.

unaanza kubembea tu.

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Nakumbuka mwaka 2021 tukielekea kwenye msiba maeneo ya Misigiri-Singida.. Dereva wetu alihama kwenye lane yake ya kushoto, nilisinzia sijui ni kwa muda gani, kufungua macho kama ndoto vile, nikaona TIR la mzigo mbele yetu limewasha taa na honi juu.
Dereva kwa kuona tunakwenda kugongana uso kwa uso, akalichepusha gari pembezoni mwa barabara upande wa kulia.
Bahati yetu hakukuwa na mtaro gari likasimama bila kupinduka. Dereva wa TIR wala hakusimama! ....tukabaki salama.
imagine,umelala ile unaamka uko na malaika[emoji86][emoji86][emoji86]

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
kusinzia ni dalili ya uchovu.kwanini hapumziki?

maisha ya watu sio ya kuyafanyia mzaha namna hiyo,unapewa gari ukifika ulikotakiwa unaamliwa kupumzika hotelini mara moja,ndio kwaanza unatafuta mademu,muda wa kugida mipombe,asubuhi huyo kama zombie kwenye usukani watu 60 wamelala wanakutegemea.

unaanza kubembea tu.

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Duh, hii mkuu ilikula kichwa cha dereva wetu wa halmashauri na diwani. Dereva siku ya safari kutoka Dodoma anapiga simu kama zuzu usiku wa saa 8 na hapo ametoka kwenye mipombe, pumbavu kabisa alikufa yeye na diwani. Mwenyekiti wa kansel na DED wakanusurika!
 
Duh, hii mkuu ilikula kichwa cha dereva wetu wa halmashauri na diwani. Dereva siku ya safari kutoka Dodoma anapiga simu kama zuzu usiku wa saa 8 na hapo ametoka kwenye mipombe, pumbavu kabisa alikufa yeye na diwani. Mwenyekiti wa kansel na DED wakanusurika!
Duh. Huzuni
 
Ukijihisi umechoka paki chombo pembeni, lala kama una usingizi au tembea tembea Refresh akili
 
Nilipokua nasafiri na IT , kamwe sisinzii nakuwa bize nampigisha stories dereva...au namsaidia kidogo .
 
Apumzike lakini ,Mpe maji makubwa cotton zima anywe mpaka mwisho wa safari ili ajisikie kukojoa,Mara kwa Mara kila anapo enda kukojoa ana gain new momentum
Nikiwa nasafiri kwenda mkoani huku nadrive naweka katoni zangu tatu za maji makubwa yale.

Mpaka nafika nakuwa nimedetox vya kutosha
 
Roadlife. Mko safarini safari ya kwenda mbali mara unamuona dereva wako keshaanza hivi mara apige miayo au anajikunakuna mara katoa mkono nje mara kwenye kiti chake amekaa upande, yaani hatulii basi stuka mara moja mshauri apumzike, vinginevyo hamfiki mbali anawaletea matatizo na pengine mkaishia hapo.
View attachment 2833862
Huyu aliishia wapi, alijiua au?
 
Roadlife. Mko safarini safari ya kwenda mbali mara unamuona dereva wako keshaanza hivi mara apige miayo au anajikunakuna mara katoa mkono nje mara kwenye kiti chake amekaa upande, yaani hatulii basi stuka mara moja mshauri apumzike, vinginevyo hamfiki mbali anawaletea matatizo na pengine mkaishia hapo.
View attachment 2833862
Sana tu
 
Back
Top Bottom