Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Ukichelewa kuoa au kuolewa ni NGUMU SANA kumpata mwenza mnayeendana.
Huu ni mtazamo tu wakuu japo najua kila mtu anaweza kuwa na namna yake ya kutazama mambo lakini mimi naona kama ni ngumu sana kwa wengi ya senior bachelors kupata wenza sahihi maana wale waliopaswa kuwa nao wanakuwa tayari wameoa au kuolewa kitambo na sasa wana maisha yao.
Nje ya hapo senior bachelor inabidi apate mwenza aliyeishi kwenye ndoa halafu akaacha au kuachika na hawa wengine aliowazidi umri pakubwa ambao nao wana changamoto zao sio za kitoto.
Huu ni mtazamo tu wakuu japo najua kila mtu anaweza kuwa na namna yake ya kutazama mambo lakini mimi naona kama ni ngumu sana kwa wengi ya senior bachelors kupata wenza sahihi maana wale waliopaswa kuwa nao wanakuwa tayari wameoa au kuolewa kitambo na sasa wana maisha yao.
Nje ya hapo senior bachelor inabidi apate mwenza aliyeishi kwenye ndoa halafu akaacha au kuachika na hawa wengine aliowazidi umri pakubwa ambao nao wana changamoto zao sio za kitoto.