Ukichoka na Mishe za Mjini Dar, Kajipumzishe Pugu “Ushoroba”

Kuna siku nilipita relini kutoka tabata relini hadi mwanachi.
Lile eneo pale kati pametulia mno, kimyaa ni sauti za ndege, maji ya mto na upepo tu.
Husikii kelele za barabarani, nadhani huko kunanifaa sana, kelele za hapa jijini zinaumiza kichwa kichizi
 
Asante sana sanaa saaaana
 
Makadirio:

Kuingia wawili full kabisa 20k
Tent 25-30k
Mlinzi 5k au 10k
The rest ni kula, vinywaji, basi.

So approximately 60-70k
Gharama za watoto viingilio, michezo etc zipoje?
 
Kuna anejua pia ishu / details za Mkuranga forest reserves?? Kama yupo atiririke kama jamaa
 
"Kuna 5% inalipwa cash pale inaenda serikalini ila ni kama buku tu. Unapewa risiti. Na malipo ya pili ni options za activities utakazo amua kufanya ukiwa uko ndani, tutazidiscuss kidogo."

👆👆
....................
Ninaomba niongezee hapo kwenye 5%.

Nimewahi kufanya kazi Pugu Ushoroba katika kukusanya malipo ya 5%.

Asilimia 5% hupatikana hivi: mfano, mteja akilipia gharama ya Tshs 100,000/= kwa control namba na kupewa risiti, basi itambidi alipie Tshs elfu 5,000/= na kupewa risiti ya Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe.

Kwa hiyo kwa mfano huo, mteja atakuwa amelipia jumla ya Tshs 105,000/=.

Maana yake ni kwamba kiasi cha Tshs 100,000/= kinaenda Serikali Kuu (kupitia TFS), huku Tshs. 5,000/= kinaenda Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe ambapo Msitu wa Pugu Kazimzumbwi unapatikana.

Karibuni sana Kisarawe, karibuni Pugu.

cc Guantanamoh
 
Unajikunja kumkaza mtoto wa mtu machakani anapita Cobra sijui Black Mamba wa kizaramo anakutia meno unabaki unagaragara.

Usisahau kuna mdau amesema alipita hapo akaona msitu umezidi kufunga so take care chief.
Msitu una takribani hekta 2,000 na pana hewa safi sana
 

Wakati Jocate akiwa DC wa Kisarawe ndiye alichangia hili eneo kuwa maarufu na hata kuwekwa kiingilio palianza wakati huo wa Mwendazake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…