Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
- Thread starter
- #41
Mke akiona hii mwamba amekwisha,na ukute ameaga yupo Safarini Kigoma[emoji1]kumbe yupo Buza[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke akiona hii mwamba amekwisha,na ukute ameaga yupo Safarini Kigoma[emoji1]kumbe yupo Buza[emoji23][emoji23][emoji23]
Wenyewe wanaona ndo mapenzi,ukimnunulia chakula lazima akipige picha....Hii mambo kuimba imba kujipost naona utoto wa hali ya juu sana, sijui watu wanawezaje.....[emoji119]
Vijana na ujana wao
DaslamDuuh...
Huko ni wapi??
Ushamba huoWenyewe wanaona ndo mapenzi,ukimnunulia chakula lazima akipige picha....
Muache sio vizuri,mtavunja ndoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakomeeeee, Lol
JAMAAA KAKAA KAMA ZILE MAITI ZA GHANA ZIKIWA ZINAAGWAAUzi tayari View attachment 3089438
[emoji1][emoji1][emoji1] dereva yupo hoiJAMAAA KAKAA KAMA ZILE MAITI ZA GHANA ZIKIWA ZINAAGWAA
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli mnaendana na mnapendana
😂😂 sema umeona le mtindizz mkubwa wa kazi?Muonekano wake tu unamtambulisha huyu ni mwanamke wa ainagani.
Mwanaume mdadisi hawezi thubutu hata kuwa na mazowea na hawa akina Mwa J
NAKAZIAMuonekano wake tu unamtambulisha huyu ni mwanamke wa ainagani.
Mwanaume mdadisi hawezi thubutu hata kuwa na mazowea na hawa akina Mwa J
Maradhi yangu hayo shekh...😋😂😂 sema umeona le mtindizz mkubwa wa kazi?
Huko mjini daslamMnawatoaga wapi