Ukienda kwa Nabii T.B. Joshua, jihadhari sana

Kansa ikimrudia mtu ndo easy assumption kuwa Katenda tena dhambi?
Seriously?
Cancer huwa inaenda into remission, ikirudi inakuwa aggressive kuliko hapo awali.
Nimeuguza ndugu wa karibu, inaumiza SANA!
Kwa maumivu yale, dhambi sijui wanatenda saa ngapi?? Hata wakipata nafuu, siyo watu wale wale, huwa wanyenyekevu na wenye kumtii na kumshukuru Mungu.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kwa nini Jiwe aliombewa na watanzania million kadhaa lakini bado akaswapiwa
 
Nani amekwambia nampigia debe T.B. Joshua? Point kuu ya thread hii ni kwamba ukiombewa (hata na shemasi au jirani yako) ukapona, usitende dhambi tena. Hilo ni Agizo la Yesu, sio la T.B. Joshua.
Muhimu ni watu kufundishwa kumpokea Yesu na kupata wokovu. Kuugua na kufa ni sehemu ya uwanadamu wetu. Shida watu wa leo wanamlazimisha Mungu awazuie wasiugue wala wasife.Wanamlazimisha Mungu awape gari, nyumba, watoto na ndoa bila kukumbuka kuwa kwenye biblia kuna watakatifu wengi waliokaa bila watoto kwa mrefu,wapo waliokuwa masikini licha ya kumtumaini Mungu kwa dhati,lakini waliendelea kumtumainia Mungu badala kukimbia huku na kule kutafuta uponyaji kwa manabii.

Ukikuta mtu anaombewa halafu anarudia kufanya dhambi baada ya kuombewa basi ujue hajapokea Wokovu bali alifuata uponyaji tu.

Watu wafundishwe kwanza kumjua Yesu Kristo kwanza ndio uponyaji ufuate baadaye.
 
Kinachofuata ni kutoa namba ya simu na kujiita wakala wa TB Joshua,hongera kwa promo mkuu
 
Christo hakuja kumponya mtu dunian wala kutenda miujiza yoyote dunian
Yesu alikuwa anakwenda kila mahali wilayani Galilaya, akifundisha katika masunagogi na kuhubiri Habari Njema juu ya ufalme wa Mungu. Aliponya kila namna ya maradhi na magonjwa waliyokuwa nayo watu. Habari zake zikaenea pande zote za Siria. Wagonjwa wote wenye maradhi ya kila namna na wale waliosumbuliwa na kila namna ya taabu: Waliopagawa na pepo, wenye kifafa na watu waliokuwa wamelemaa, walipelekwa kwake; naye akawaponya wote(Mt 4:23-25) BHN
 
Nakazia kwa wino mwekundu
 
Mkuu kuna watu hawajawahi kutenda dhambi Ila ni wagonjwa taabani,by the way nimeupenda mwandiko wako,hongera!.
 
Waongo tuu Kama watu wangekua wanapona kweli kusinge kua na hospitali huko Nigeria

Wagonjwa wanaoumwa ukwelii wapo mahospitalini wawaombee wao wapone ndo tuamini

Hawa wanaojiita manabii waue siku waende Muhimbili pale wakawaombee wagonjwa Kama watapona
 
Mkuu kuna watu hawajawahi kutenda dhambi Ila ni wagonjwa taabani,by the way nimeupenda mwandiko wako,hongera!.
Umejuaje hawajatenda dhambi kwenye biblia 1Yohana 1:8-10 inasema.mkisema hamna dhambi mnajidanganya.Kwa hiyo ajikague na.kujitafakari Mungu ni mwaminifu atajua wapi kuna shida.Matauo 16:19 tumepewa fungus za kufunga chochote dunuani na.mbinguni kitafungwa.Funga magonjwa na roho zote zilizokinyume huyo ndugu yako atapona
 
hivi kwani tunapatwa na magonjwa kwasababu tunatenda dhambi?
 
kwani watu wanaougua magonjwa km kansa dhambi ndio sababu ya wao kuugua hayo magonjwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…