Biblia inafunua siri nyingi za kuepuka matatizo tunayokutana nayo maishani. Lakini watu hawaisomi. Matokeo yake wakikutana na manabii wa uongo wanadanganywa kirahisi. Biblia inasema siku za mwisho manabii wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi. Bila kusoma Biblia na kukaa katika kanisa linalofundisha kweli yote ya Neno la Mungu, ni rahisi kupatwa na hayo ya 'bimkubwa'watu wasome maandiko kuepuka mitego ya shetani
Dhambi ni uasi.Dhambi ni nini? tuanzie hapo kwanza....
Mtu yeyote akitubu dhambi zake zote na kuziacha na kukubali Yesu awe Bwana na Mwokozi wake, anaokoka. Kwa maneno mengine anatakaswa kwa damu ya Yesu na kufanyika mtakatifu. Watakatifu wapo wengi duniani na Mungu anapendezwa na watu hawa.Ni nani anaweza kuwa mtakatifu?
Uasi unahusisha fikra na mitazamo, tatizo watu wengi wanachanganya matendo maovu na dhambi. Dhambi haipo kwenye matendo, ipo kwenye fikra, ni kitu cha ndani kinachohusu dhamiri....Dhambi ni uasi.
"Kila atendaye dhambi, afanya uasi; kwa kuwa dhambi ni uasi."(1 Yoh 3:4).
Uasi ni nini? Ni kuvunja amri na maagizo ya Mungu. Amri na maagizo ya Mungu yameandikwa kwenye Biblia. Kwa mfano, amri mojawapo ya Mungu inasema: "usizini". Mtu akizini anafanya uasi mbele za Mungu, anavunja amri au agizo hilo la Mungu.
Wanaovunja amri za Mungu adhabu yao ni kutupwa katika moto wa milele siku ile ya mwisho. Na wengine chamoto wanaanza kukipata hapahapa duniani.
Akikubali ushauri wako, akaamua kwenda kuombewa mahali popote - kwa T.B. Joshua au kwa mhubirii yeyote maarufu, mwambie akiombewa, akapona, ajihadhari sana asitende dhambi tena. Mtu akitenda dhambi baada ya kupona kwa muujiza, kuna uwezekano wa kurudiwa na ugonjwa uleule kwa viwango vya juu zaidi au kupatwa na jambo baya zaidi. Nawatakia watu wote maisha ya heri.
Sidhani kwamba Wakristo wanaposherehekea kuzaliwa kwa Yesu tarehe 25 Dec, wanamaanisha kuwa Yesu alizaliwa tarehe hiyo. No. Hiyo ni siku iliyochaguliwa tu kukumbuka kuzaliwa kwa Yesu. Kwamba Yesu alizaliwa July au Aprili hiyo sio issue. Jambo muhimu ni kwamba alizaliwa kwa ajili ya wanadamu. Hicho ndicho kinachowafanya washerehekee.Tena ikiwa Nabii huyo au Mtume huyo anakubali kuwa YESU KRISTO alizaliwa 25 December na anasheherekea sikukuu hiyo kanisani kwake, basi fahamu kwamba Nabii huyo au Mtume huyo ni wa uongo
Haya umeusomaaa kumbe umeelewa umeambiwa alikuwa anakwendaa"" then anafanya nini??? Jibu ni "ANAFUNDISHA" kuhusu habar za ufalme wa Mungu kumbe ushaona mwenyew kuwa the first priority ya mission yake ilikuwa kuwafundishaa kuwapa maarifa ya neno, kwanzaa na ndipo mambo ya uponyaji yalifuata hiyo ni kuonesha kuwa chamsingi na chamuhimu ni wew kuijuwa kwel na kupata hakika ya kuuona ufalme wa Mbingu kabla hata ya uponyaji...bado ukwel unabak pale pale kuwa kristo hakuja kukutibu ww bali alkuja kukupa mwanga wa kupata ujue utajitibujeee na sio kuwa tegemezi kwa mtu bal kwa Mungu pekee....Nashukuru umeleta neno limekufunza mwenyew[emoji41][emoji41]Yesu alikuwa anakwenda kila mahali wilayani Galilaya, akifundisha katika masunagogi na kuhubiri Habari Njema juu ya ufalme wa Mungu. Aliponya kila namna ya maradhi na magonjwa waliyokuwa nayo watu. Habari zake zikaenea pande zote za Siria. Wagonjwa wote wenye maradhi ya kila namna na wale waliosumbuliwa na kila namna ya taabu: Waliopagawa na pepo, wenye kifafa na watu waliokuwa wamelemaa, walipelekwa kwake; naye akawaponya wote(Mt 4:23-25) BHN
Shida sio wameponywaa,,shida ni wametumia njia ipi kuponaa upo apo?? Kumbuka hata mizimu ina huruma sana kwa wanadamu nayo inanguvu za kuponya ma kufanya miujiza,,uruma yako uliyofanyiwa isiwe kigezo cha kumtunuku aliekuponya kuwa ni mtakatifu,,,HAIPO HIYOMkuu kuna watu hawajawahi kutenda dhambi Ila ni wagonjwa taabani,by the way nimeupenda mwandiko wako,hongera!.
Zile ni drama tu wale wachawi wakubwa,,,wamuombe Mungu awaponeshe korona waache uwizWaongo tuu Kama watu wangekua wanapona kweli kusinge kua na hospitali huko Nigeria
Wagonjwa wanaoumwa ukwelii wapo mahospitalini wawaombee wao wapone ndo tuamini
Hawa wanaojiita manabii waue siku waende Muhimbili pale wakawaombee wagonjwa Kama watapona
Sawa kaka, si unaona mzungu anatii masharti .Ukiweza kutii masharti yasiyo ya giza wewe ni mtu wa Mungu na utabarikiwa na kuwa na maisha marefu.Mfano huku kwetu tunaambiwa don't drink and drive wenzetu wanatii sisi huku mtu hajali hata kidogo.tena akijua askari hamfuatiii ndio kabisaaa.Wenzetu wanatii hivyo vifo vitokanavyo na kuendesha gari amelewa ni kidogo .Mfano uliotoa.ni wa ngono zembe nk .Mkuu magonjwa yanasababishwa na mambo mengi tu nje ya dhambi.
MTU ni mzinifu hatari na zinaa ni dhambi ila hawapti ukimwi kwa kuwa wanazingatia matumizi bora ya condom.
Mazungu mengi hayajui hata kuomba wala kanisa,ila umri wao Wa kuishi ni miaka themanini.
We zingatia kanuni za afya tu,kula vyakula vya asili,Fanya mazoezi,ishi na watu vizuri,ukiumwa kula mizizi achana na antibiotic za kisasa.
Babu zetu waliishi miaka mingi na hawakuwa na hospital wala kanisa na wqlikuwa hawana magonjwa magonjwa zaidi ya kulogana.
Biblia huwa unaisoma mara moja kwa mwaka? Kuhubiri/kufundisha na uponyaji vyote ni muhimu. Mtu kiziwi(asiyesikia kabisa) utamfundisha kwanza ndio umuombee apone? Yesu aliposema fufueni wafu, hao wafu watafundishwa kwanza ndio wafufuliwe?Haya umeusomaaa kumbe umeelewa umeambiwa alikuwa anakwendaa"" then anafanya nini??? Jibu ni "ANAFUNDISHA" kuhusu habar za ufalme wa Mungu kumbe ushaona mwenyew kuwa the first priority ya mission yake ilikuwa kuwafundishaa kuwapa maarifa ya neno, kwanzaa na ndipo mambo ya uponyaji yalifuata hiyo ni kuonesha kuwa chamsingi na chamuhimu ni wew kuijuwa kwel na kupata hakika ya kuuona ufalme wa Mbingu kabla hata ya uponyaji...bado ukwel unabak pale pale kuwa kristo hakuja kukutibu ww bali alkuja kukupa mwanga wa kupata ujue utajitibujeee na sio kuwa tegemezi kwa mtu bal kwa Mungu pekee....Nashukuru umeleta neno limekufunza mwenyew[emoji41][emoji41]
Bible reference, pleaseKumbuka hata mizimu ina huruma sana kwa wanadamu nayo inanguvu za kuponya ma kufanya miujiza,
HajakuelewaNani amekwambia nampigia debe T.B. Joshua? Point kuu ya thread hii ni kwamba ukiombewa (hata na shemasi au jirani yako) ukapona, usitende dhambi tena. Hilo ni Agizo la Yesu, sio la T.B. Joshua.
Sipingi umuhimu wa mtu kuhubiriwa au kufundishwa kwanza then ndio mtu aombewe au ajiombee mwenyewe. Soma mistari ifuatayo kwa makini utaona wazi uponyaji unatangulia kabla ya mafundisho.Haya umeusomaaa kumbe umeelewa umeambiwa alikuwa anakwendaa"" then anafanya nini??? Jibu ni "ANAFUNDISHA" kuhusu habar za ufalme wa Mungu kumbe ushaona mwenyew kuwa the first priority ya mission yake ilikuwa kuwafundishaa kuwapa maarifa ya neno, kwanzaa na ndipo mambo ya uponyaji yalifuata hiyo ni kuonesha kuwa chamsingi na chamuhimu ni wew kuijuwa kwel na kupata hakika ya kuuona ufalme wa Mbingu kabla hata ya uponyaji...bado ukwel unabak pale pale kuwa kristo hakuja kukutibu ww bali alkuja kukupa mwanga wa kupata ujue utajitibujeee na sio kuwa tegemezi kwa mtu bal kwa Mungu pekee....Nashukuru umeleta neno limekufunza mwenyew[emoji41][emoji41]
Yale ni maigizo watu wanaandaliwa, niamboa Mtanzania Kilema alie wahi kwenda kwa TB joshua akaombewa akapona.Kwa neema ya Mungu tumeiona tena siku ya leo tukiwa na uzima na nguvu ya kuingia katika jukwaa letu pendwa (JF), ili kupashana habari, kutiana moyo na kushauriana. Wakati sisi tunafurahia mada mbalimbali zinazoletwa humu, tusisahau kuna ndugu zetu, jamaa zetu na marafiki zetu wana huzuni kubwa kwakuwa wamelazwa hospitalini muda mrefu kutokana na magonjwa sugu au "yasiyosikia dawa" kama vile kansa, ukimwi, kisukari, magonjwa ya moyo, nk. Ni jukumu letu kutafuta namna ya kuwasaidia.
Watu wanaougua muda mrefu hupewa ushauri mwingi sana wa jinsi ya kujinasua kutoka katika magonjwa sugu. Wagonjwa wa aina hiyo mara nyingine hushauriwa waende kwa wahubiri, wachungaji, manabii au mitume wakaombewe. Huaminishwa kuwa wengi katika wale wanaoombewa hupokea uponyaji kwa njia ya muujiza tena bila kulipa gharama yoyote.
T.B. Joshua anafahamika sana ulimwenguni kutokana na maombezi anayoyafanya katika kanisa lake kubwa, lililoko Nigeria. Kwa wanaofuatilia habari za mhubiri huyo, ni wazi watakuwa ama wamesikia au kuona vipofu, viwete, viziwi na wenye magonjwa sugu wakitoa shuhuda za uponyaji baada ya kuombewa na T.B. Joshua. Sio mhubiri huyo tu anayeombea wagonjwa, wapo wahubiri wengine Kenya, South Africa, Korea ya Kusini, USA nk wanaoombea watu wenye magonjwa mbalimbali. Kuna mhubiri fulani, Tanzania, yeye sio tu anaombea wagonjwa, amewahi kuonekana pia akiombea mtu aliyekufa, kisha mtu huyo akafufuka!
Hao wote wanafuata nyayo za Yesu. Siku moja Yesu alipokuwa duniani alimponya mtu aliyekuwa mgonjwa sana kwa miaka 38. Alikuwa hawezi kuinuka kutoka kwenye godoro lake. Yesu alimponya kwa kumwambia tu, "inuka, umekuwa mzima, jitwike godoro lako uende." Akainuka, akaenda zake, mzima kabisa! Baadaye Yesu alimkuta huyo mtu hekaluni akamwambia: "Angalia, umekuwa mzima; usitende dhambi tena, lisije likakupata jambo lililo baya zaidi."(Yohana 5:14).
Je, una ndugu, jamaa au rafiki anayeteseka na magonjwa mabaya? Ametibiwa hospitali miaka mingi lakini imeshindikana? Sio vibaya ukimshauri aende akaombewe. Akikubali ushauri wako, akaamua kwenda kuombewa mahali popote - kwa T.B. Joshua au kwa mhubirii yeyote maarufu, mwambie akiombewa, akapona, ajihadhari sana asitende dhambi tena. Mtu akitenda dhambi baada ya kupona kwa muujiza, kuna uwezekano wa kurudiwa na ugonjwa uleule kwa viwango vya juu zaidi au kupatwa na jambo baya zaidi. Nawatakia watu wote maisha ya heri.
Wale wanao waombea huwa hawasisitizi hapo kwenye kuacha Zambi,Yaani ningekuwa nakujua ningekupa.zawadi kwa some ulilolitoa. Shida wengi hawajui.neno wala.hawasomi neno.Mungu huponya wote bure ila gharama yake ni kuacha dhambi. Kingine na mazingira ya kupata ugonjwa binadamu anatakiwa ujihoji, utubu na kuacha dhambi.
Cha ajabu wao wakiumwa wanaebda kutibiwa First class Hospital, Hawa wahubiri ni wasanii sanaWatu watafute maarifa wenyewe binafsi kwa sababu hata hawa watumishi ni binaadam kama wewe, kama dhambi wanatenda kama wengine, hivyo kwanini uombewe na mtenda dhambi mwenzio, tafuta maarifa ya kuacha dhambi wenyewe. Na mzigo wa dhambi ni mzigo ambao ukiubeba huwezi jua kama ni mzigo utatembea nao miaka nenda rudi, mpaka ugundue utakua umeshamaliza waganga wote kwa ajili ya kukuagua.