Ukienda kwa Nabii T.B. Joshua, jihadhari sana

Kwani hakuna wanao pona Hospitali na baadae wanaugua tena? Kwa hio kwa akili yako kila ukiumwa basi unetenda dhambi?
 
Mleta mada nakuapia wewe ni uzao wa yule mwovu tena kwa 100%.
Acha upotoshaji wako wa mchana kweupe bila aibu!
Nahisi wewe ni sehemu ya hawa wanaojiita 'manabii' ndio maana umeweza kuja huku bila aibu kuleta huu upotoshaji.
Mtambulishe kiwete mmoja aliyekuwa hivyo na (anafahamika) alienda kwa akina joshua akapona.
 
Kwa hio kwa akili yako kila ukiumwa basi unetenda dhambi?
Sio kila ukiumwa. Ni hivi: kama umekuwa ukitenda dhambi, ukaugua, baadaye ukapona kwa muujiza(baada ya kuombewa), ili usipatwe tena na ugonjwa huo kwa viwango vya juu au kupatwa na jambo baya zaidi, zingatia vigezo/masharti aliyotoa Yesu: USITENDE DHAMBI TENA
 
Kichwa cha habari kina mislead.meseji yako nzuri.

Ni kwamba ukipona kwa kuombewa ujihadhari sana.siyo lazima iwe ni kwa T.B.Joshua
 
Mleta mada nakuapia wewe ni uzao wa yule mwovu tena kwa 100%.
Hahaa. Sina ushirika na mwovu shetani. Nampinga kwa Jina la Yesu kila anaponijia.

Hivi wewe ndugu, tangu uzaliwe hujawahi sikia au kuona kiwete akipona kwa kuombewa? Hata yule kiwete aliyeambiwa na Petro simama uende, hujasoma habari zake?

Mdo 3:6​

Lakini Petro akasema, Mimi sina fedha, wala dhahabu, lakini nilicho nacho ndicho nikupacho. Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, simama uende.

Yesu alikufa, akafufuka. Yuko hai hata leo. Anaendelea kutenda miujiza kwa kuwatumia Watumishi wake waliopo sehemu mbalimbali duniani. Vipofu wanaona, viziwi wanasikia, viwete wanatembea hata leo baada ya kuombewa kwa Jina la Yesu. Dunia hii ni kubwa. Kama hujaona hiyo miujiza usifikiri haipo.
 
Kichwa cha habari kina mislead.meseji yako nzuri.
If you just read the title, you will surely be misled.

Nmesema, Uki-enda(if you [decide to] go). Najua wapo wanaofikiria kwenda huko....Sijasema lazima uende.

Na ndani nimefafanua zaidi: "ukienda kwa...au mhubiri yeyote maarufu..."

Usinilishe maneno, ndugu. By the way, to read a title is not necessarily to understand it - even if it's a simple title like the one you've proposed.
 
Waafrika wacheni ujinga jamani, T.B. Joshua si nabii wala nini he never cures anyone, yeye analipa watu ku act tu na kuaminisha watu wasiojitambua kuwa ana power za kutibu watu kumbe ni kamba tu.
Unaenda nje ya mada: ukiombewa(na mhubiri au mtu yeyote yule), ukapona, usitende dhambi tena.
 
nakuunga mkono mkuu. watu wamweka imani kwa wenzao
 
Unataka kusema sticks ipeperuke kutoka Lagos Nigeria kwa upepo hadi Tanzania bila gharama.
Weka video za uzalilishaji tuzione. Mimi TB namkubali kwa utoaji misaada kwa wahitaji kama wazee,walemavu nk
 
Amen
 
Naona hatuelewana unajarbu kwa nguvu zote kuhalalisha miujiza na uponyajiii..ukwel utabak kuwa zama hiz hakuna nabii,mtume wala nn awo wote ni majizi tu hata watumie biblia gani
 
Biblia huwa unaisoma mara moja kwa mwaka? Kuhubiri/kufundisha na uponyaji vyote ni muhimu. Mtu kiziwi(asiyesikia kabisa) utamfundisha kwanza ndio umuombee apone? Yesu aliposema fufueni wafu, hao wafu watafundishwa kwanza ndio wafufuliwe?
Ndio tatizo la matapel mnakalilisha uongo tu..ni hiv biblia naijuwa zaid ya wachungaji zako
 
Naona hatuelewana unajarbu kwa nguvu zote kuhalalisha miujiza na uponyajiii..ukwel utabak kuwa zama hiz hakuna nabii,mtume wala nn awo wote ni majizi tu hata watumie biblia gani
Thibitisha hoja yako kwa Maandiko
 
Mkuu kuna watu hawajawahi kutenda dhambi Ila ni wagonjwa taabani,by the way nimeupenda mwandiko wako,hongera!.
Hakuna mtu hata mmoja ambaye hajawahi kutenda dhambi katika karne hii.
Ukisema kuna watu hawajawahi kutenda dhambi unaongea uongo.
Dhambi ni nini?
Biblia ya Kiingereza imeelezea vizuri sana maana ya dhambi ni nini kuliko Biblia ya Kiswahili, hivyo nitakupa kifungu hicho kwa Kiingereza.
"Whosoever commiteth sin transgresseth also the Law, for sin is the transgression of the Law". 1 John 3:4
Tutajiuliza what Law? Jibu ni rahisi, the Law of GOD, the Ten commandments are the fundamental laws of GOD. Sasa basi kwa maana rahisi kutenda dhambi ni kuvunja Amri za MUNGU hivyo basi hakuna mwanadamu ambaye hajawahi kuvunja Amri hata moja ya MUNGU, ni YESU KRISTO peke yake ambaye hakuvunja Amri za MUNGU. Soma Yohana 15:10, 2 Wakorintho 5:21, 1 Petro 2:22
 
Sasa swali langu linabakia pale pale, hao wanaojiita Manabii na wao hawaujui UKWELI ikiwa wanaye ROHO MTAKATIFU?
Je, huyo ROHO hawaambii UKWELI kuwa KRISTO hakuzaliwa tarehe 25 December?
Na tena huyo ROHO hawaambii UKWELI kuwa KRISTO hakufa siku ya Ijumaa?
Kama kweli hao Manabii ni Manabii wa kweli wa MUNGU, basi huyo ROHO MTAKATIFU angewaambia UKWELI wote ulivyo na kamwe asingewaacha waendelee kusheherekea sikukuu zenye mafungamano na "uongo".
Jibu ni dogo na rahisi, hao Manabii ni Manabii wa uongo. Ukatae, ukubali hao ni manabii wa uongo na Ukristo wanaohubiri umejaa mafundisho mengi sana ya uongo.
Ni kanisa moja tu duniani linalofundisha KWELI yote ya MUNGU.
Kama vile MUNGU alivyo mmoja, KRISTO mmoja, Imani moja, hivyo hivyo na kanisa la kweli la MUNGU ni moja tu basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…