Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha na uyo jamaa hajielewiKwa faida ya wengi ungaliweka huo usahihi wa hiyo hadithi
We Hadith unazijua!?..unajua historia yake!?..unajua ummar bin ul khattab alifanya na kusema nini kuhusu Hadith!?..unamjua khalifa mwingine aliyelaani Hadith!?..nimepita kote huko uliko na kwingineko kuhusu dini,bado una safari ndefu ya elimu ya dini ikiwa kweli unaitafutaDah sasa ndo nathibitisha zaidi kua ww unaelekea kukufuru kabisaa
Hlf ety since 1991 unasoma dini , ivi unasoma dini gni ww usoijua hta iyo hadithi
Maghurafi mna tabu sanaaa
Naomba nisikujibu tena kwa hatua ulofikia inaonekana una matatizo ya Afya ya Akili sio bure weweWe Hadith unazijua!?..unajua historia yake!?..unajua ummar bin ul khattab alifanya na kusema nini kuhusu Hadith!?..unamjua khalifa mwingine aliyelaani Hadith!?..nimepita kote huko uliko na kwingineko kuhusu dini,bado una safari ndefu ya elimu ya dini ikiwa kweli unaitafuta
Sahihi kabisa kiongoziUkimkubali yesu Kristo mambo ya ushirikina yanakuwa hayana nafasi kwenye maisha yako.
Unajua historia ya hadithi!?Naomba nisikujibu tena kwa hatua ulofikia inaonekana una matatizo ya Afya ya Akili sio bure wewe
Nami kidogo nitoe nijuacho....Leo wachungaji wa mchongo kina Mwamposa na mafuta yao tuwapumzishe kidogo tuangalie upande mwengine
![]()
![]()
View attachment 2603934
Nimekuwa katika magroup ya tiba naona kuna hivi vikaratasi watu wanapewa ama kuelekezwa kuvichora na wa kuitwa mashehe wakiwaambia ni tiba, ulinzi, kuongeza, mvuto, n.k. niwarahishie tu kwamba huu ni UCHAWI!!
Kama ni ya matibabu ya kiroho kama kurogwa, hakuna anaeweza kutibu zaidi ya Allah bega jwa bega na dua, vifungu, rukya .
Kama ni kwa kujilinda, maandishi au michoro haiwezi kukulinda, Ni imani yako kwa Allah ndiyo inayokulinda pamoja nawe kupiga dua, kunukuu vifungu vyake.
Maneno ya korani hayapo kwajili ya kuchanganywa na michoro ama maneno mengine kwenye kijikaratasi, huo ni ushirikina wa kumshirikisha Allah na vitu vya ajabu ajabu, Allah hawezi kusaidiai hapa bali hayo maneno ya quran yanazuga tu ili ile michoro mingine au maneno ndio vitumike, hayo maneno hata ukimpa muarabu ni ngumu sana kuyatambua, ni lugha za kishetani
Ukipewa hivi vitu pindi unapotoka tu njiani chana chana kabisa tupa kule visiiingie nyumbani kwako na kama ulibebea mfukoni hio nguo choma kabisa
Huyu Rakims ndo hafai kabisaaa ni mshirikina haswaa na watu wanamfuatilia sana hpa jukwaani
Meditations ndio ukamilifu wa mwanadamu.....Dah umemkosea sana Rakims mzee wa meditation
Mmhhhhhhhh!!!!!![emoji25]Yan wewe kweli mpumbavu na hyo sunni yako washamba wa tupu....
Allah anasema magonjwa yote yanatoka kwake na tiba zinatoka kwenye kitabu chake...
Sasa kw taarfa yako,hiyo tarasimu ya kwanza hapo juu..manuizo yake ni kusomea BARAHATIHI 11...Halafu unaleta aya nusu unadhn cc wajnga?
Mmmhhhhhhhg!!![emoji849]Hiyo ni talasimu ni aina fulani ya kinga naweza kusema ni kama jini hiyo watu wengi wanatembea nayo unakuta wameweka kwenye waleti ni ishu ndogo sana ila sheria yake ni moja usije kushika talasimu lililonuiwa kwa ajili ya mtu kama halikuhusu achana nalo especially kwa wanawake wanaopenda ku sachi wanaume
Duh!Hiyo ni talasimu ni aina fulani ya kinga naweza kusema ni kama jini hiyo watu wengi wanatembea nayo unakuta wameweka kwenye waleti ni ishu ndogo sana ila sheria yake ni moja usije kushika talasimu lililonuiwa kwa ajili ya mtu kama halikuhusu achana nalo especially kwa wanawake wanaopenda ku sachi wanaume
Mi naomba unijuze hapo kwenye alichokisema Omar bin Khatwaab kuhusu hadith na pia huyo khalifa aliyezilaani hadith.We Hadith unazijua!?..unajua historia yake!?..unajua ummar bin ul khattab alifanya na kusema nini kuhusu Hadith!?..unamjua khalifa mwingine aliyelaani Hadith!?..nimepita kote huko uliko na kwingineko kuhusu dini,bado una safari ndefu ya elimu ya dini ikiwa kweli unaitafuta
unaweza kufafanua tofauti ya uchawi na ushirikina? tupate maarifa zaidiUchawi si ushirikina,ni uelewa mbaya tu juu ya shirki,malaika walifundisha uchawi hawakufundisha shirki,wanaoitwa washirikina kwenye Quran walikua wakiabudu sanamu,acha kujitia una elimu Sana na umeongoka na usalafi wako mnaogeuza wanazuoni kuwa miungu kwa kufuata fatwa zao badala ya Quran
Uchawi ni ulozi huo wa kawaida unaoujua, ushirikina ni kukipa sifa za uungu kisichokua Mungu mwenyeziunaweza kufafanua tofauti ya uchawi na ushirikina? tupate maarifa zaidi
Habari mkuu naimani ni Mzima wa Afya.....Leo wachungaji wa mchongo kina Mwamposa na mafuta yao tuwapumzishe kidogo tuangalie upande mwengine.
View attachment 2603934![]()
Nimekuwa katika magroup ya tiba naona kuna hivi vikaratasi watu wanapewa ama kuelekezwa kuvichora na wa kuitwa mashehe wakiwaambia ni tiba, ulinzi, kuongeza, mvuto, n.k. niwarahishie tu kwamba huu ni UCHAWI!!
Kama ni ya matibabu ya kiroho kama kurogwa, hakuna anaeweza kutibu zaidi ya Allah bega jwa bega na dua, vifungu, rukya.
Kama ni kwa kujilinda, maandishi au michoro haiwezi kukulinda, Ni imani yako kwa Allah ndiyo inayokulinda pamoja nawe kupiga dua, kunukuu vifungu vyake.
Maneno ya korani hayapo kwajili ya kuchanganywa na michoro ama maneno mengine kwenye kijikaratasi, huo ni ushirikina wa kumshirikisha Allah na vitu vya ajabu ajabu, Allah hawezi kusaidiai hapa bali hayo maneno ya quran yanazuga tu ili ile michoro mingine au maneno ndio vitumike, hayo maneno hata ukimpa muarabu ni ngumu sana kuyatambua, ni lugha za kishetani.
Ukipewa hivi vitu pindi unapotoka tu njiani chana chana kabisa tupa kule visiiingie nyumbani kwako na kama ulibebea mfukoni hio nguo choma kabisa.
Kila anaeamini Mungu mmoja na anaeamini uwepo wa Mungu mmoja na ni katika kizazi cha Adam kwa kukubali utume wa Ibrahim ambaye rafiki wa mwenyezi Mungu.Ukimkubali yesu Kristo mambo ya ushirikina yanakuwa hayana nafasi kwenye maisha yako.