Ukienda kwa shehe akikupa vikaratasi kama hivi uwe unavibeba ama kuviweka chumbani vichane na usirudi tena kwake, ni uchawi mtupu

Ukienda kwa shehe akikupa vikaratasi kama hivi uwe unavibeba ama kuviweka chumbani vichane na usirudi tena kwake, ni uchawi mtupu

Habari mkuu naimani ni Mzima wa Afya.....
Nilitamani sana nikujibu kwa misingi ya akili lakini kwa kuwa tu umeweka mada hii kwa habari na hoja mchanganyiko itoshe tu na mimi pia nikujibu kwa misingi ya habari na hoja mchanganyiko...

Kwa kuanza nakuomba uniwie radhi kwa kukuita wewe ni Mpumbavu namba 20, Nilisema kila mpumbavu nitakae kutananae anaongea vitu asivyovijua basi nitampa cheo chake cha upumbavu yeye ni Mpumbavu namba ngapi hivyo chukua hiyo yako ni Namba 20...

Kwa kufikia hapo tu najua vidole sasa hivi vitakuwa vinakutukutia uanze kuporomosha matusi lakini usihofu mpumbavu sio tusi ni pale tu mtu anapoteleza kwenye ujuzi....

Hizo ulizoweka hapo picha na kuorodhesha kisha na kusema kwa majigambo kuwa ni Uchawi. Wanaozijua ni wenye kuita talasimu yaani talisman ambayo hutegemea na muhusika anaitizama vipi na katengeneza kwa misingi ipi...

Ikiwa wewe sio mwenye asili ya persian kujua hizi ni nini kwako inaweza kuwa shida hata kwa waarabu na waislamu wenyewe.
Kwa maana talasimu inaweza kuwa kwa mtu yoyote na hali yoyote ile unaweza kuigeuza ikawa ya kizungu,kiarabu,kihindi,kichina,kijapani,kifaransa,kuswahili hata kisukuma au kijaluo.

mradi ulichoandika hapo kiwe kina maana ambayo wewe unayoitaka iwe hiyo mathalani moja ya talasimu yoyote hapo iliyoandikwa jina Allah ukiamua kuandika Shetani inaenda tu kwa shetani kama wewe ni Mwenye kuabudu shetani

Kama ilivyo kwa madai yako kwamba hakuna anaeweza kutibu pasipo mwenyezi Mungu basi pia hakuna anaeweza kudhuru pasipo idhini ya mwenyezi Mungu...

Kuna member hapo kakwambia wewe hujui mengi bado ni kweli hujui mengi.

Mwenyezi Mungu akuepushe kuwa mmoja kati ya wanafiki kwa maana kama wewe ni msafi majukwaa ya uganga uchawi mashehe wa michongo, wachungaji waongo ulienda kutafuta nini kama sio unafiki?

Vile vile kama wao wanakosea ulitakiwa uwaambie kule kule kuliko kuja kusambaza unafiki wako huku. Kama wewe ni Mkristo basi umekosea hata kama ni mwislam basi umekosea pia kwa maana anaekosea hurekebishwa pale pale....

Unafiki mwingine ni wewe kusema kwamba Mungu anatosha kuwa tiba maana yake wachawi wako baada ya kujaribu kukutibu wakashindwa ukamrudia Mwenyezi Mungu which ni jambo zuri...

Ila shida umemrudia kinafiki kwa maana unatafuta hapa jukwaani support ya watu wakusupport kuwa kuacha uchawi ni Jambo zuri... Of cause ni jambo zuri hakuna anaekataa lakini kama wewe umeongoka basi kawaongoe na wenzio sio kuja kuwateta huku....

Pia unasema ushahidi wa maneno ya Quran kuzuga hapo bado hatujaona hapo ni wapi kwenye hizo tarasimu ulizopost kuna aya za Quran za kuzugia?

Hizo namba za kiarabu na hizo boksi boksi ndio unaita Quran? au kuona tu hilo jina la mwenyezi Mungu? Jina la mwenyezi Mungu anatumia mtu yoyote hata wanafiki kama wewe, Kujificha maovu yao.

hayo maneno hata ukimpa muarabu ni ngumu sana kuyatambua, ni lugha za kishetani.

Usiseme kitu usichokijua hii lugha ni ya kiarabu lakini sio kiarabu unachojua wewe, lugha ya talasimu kwa pamoja na lugha zingine zote mazao yake ni Babilon ambapo kila mtu pale alitoka na lugha yake jifunze historia.

  • Kwa hiyo watoto shule wanaofundishwa maumbo ya hesabu wanafundishwa maumbo ya ushetani?
  • Kwa hiyo jina hilo katikati hapo la Allah ni jina la kishetani?
  • Kwa hiyo hizo pembe tano hapo ni mchoro wa kishetani?
  • Kwa hiyo malaika Gabriel,Michael,Rafael na Izrael hapo ni wa shetani?
  • Kwa hiyo kuandika قوله الحق و الله الملك ni ushetani yaani Neno lake ni kweli, na Mungu ndiye Mfalme?
  • Kwa hiyo ٱلْفَتَّاحُ yaani Mfunguzi AMBAYE anafungua aina zote za vitu vilivyofungwa ni shetani?
Mbona kama kadri siku zinavyozidi kwenda ndio jamii forum inazidi kuvamiwa na wapumbavu?
Au umeamua kuwadanganya hawa wasiojua maana za maneno ya kiarabu kuwa Quran ni lugha ya uchawi?
Nasubiri majibu

Rakims
Nilikwambieni mimi huyu jamaa ni mshirikina tu hafai

Nadhani mumejionea wenyewe
 
Wanafiki wataingizwa Jahanam ya chini kabisa jihadhari usiwe mmoja wao.
Kwanza huna maarifa ya kujua tofauti ya uchawi na shirk wewe ni mpumbavu namba 21

Eti "Kma ulivosema ni kweli hapo ni uchawi tu huo hamna kitu kingine na Mungu katika kitu ambacho hakipendi ni shirki"

Unaoanisha vitu viwili tofauti kwa kudhani ni kimoja unafiki gani unaojisifia hapo?
Una utakatifu gani wewe wa kujua upo kwenye njia iliyonyooka?

huna tofauti na mpuuzi mwenye kusema lile ambalo halijui mwanzo wala mwisho wake "Asilimia yenu kubwa ni wapumbavu japo wamo katika nyinyi wenye hekima na hao ndio watakao pata mwisho mwema sio wewe mnafiki wa kusahau "walmunafiquna fi nar jahanam (TENA WANAFIKI WATACHOMWA MOTO WA CHINI KABISA)

Wapo katika nyinyi wanao wasikiliza wanazuoni na kisha wakajenga nao hoja...
Na wapo katika nyinyi wanaowasikiliza wanazuoni kisha wakawaua kwa misingi ya historia....
Na nyie ndio wenye kusababisha waislamu kuonekana magaidi.....

kujiitaa ansaar hakukufanyi wewe kuwa ansaar wala kujinadi wewe salaf hakukufanyi wewe kuwa Salaf kamili hivyo hivyo kwa waislam unavyowaona ni waislamu wengine majina tu..
wewe ni kina kila wa kala wala usijiite Ansaar kwa maana hata ansaar wenzio watajua kwa nini nimekwambia hivi...

Hakuna Ansaar ambaye hana hekima ya hoja wewe ndio wa kwanza na Bye the way unatofauti gani wewe na mashiah?

Rakims
We mshirika funga bakuli lako ilo na ukifariki na ushirikina wako huo ni moto tu hakuna msamaha mbele ya Mungu
 
Njoo nikufundishe bitcoin mdogo wangu upate hata hela ya kulipia ada ya madrasa ndani ya siku moja. Ili ukasome kwanza dini ambayo huijui hata historia yake..

Mwenyezi Mungu hakuleta mtu duniani kuteseka unaweza kukaa nyumbani rizki ikakufuata Ukiwa salafi wa kweli utapata sarafu za kweli...
Akhi
Ety unifundishe bitcoin

Sasa mm na ww nani anaetafuta hela? Yni mpk unaingia kwenye upumbavu wa bitcoin inaonesha kabisaa huna uliwezalo kufanya zaidi ya kutapeli watu

Ety hlf unisomee nyota? Ivi una akili lkn ww?

Unashindwa kumiliki ata baskeli hlf uje kumiliki nyota pumbavu kabisaaa

Endelea kutapeli wajinga wenzako sio ss tunaojitambua
 
UNAFAHAMU NINI KUHUSU ELIMU YA NYOTA

[emoji2424]SHEIKH ABU HASHIM حفظه الله

 
UNAFAHAMU NINI KUHUSU ELIMU YA NYOTA

[emoji2424]SHEIKH ABU HASHIM حفظه الله


Sikilizeni masheikh wanavoeleza sio kudanganywa na watu kma hawa Akina Rakims
 
We mshirika funga bakuli lako ilo na ukifariki na ushirikina wako huo ni moto tu hakuna msamaha mbele ya Mungu
Sawa wewe si ndio mwenye kiti chake cha enzi unampangia nani anaingia motoni na nani anabaki...

Mimi lazima nikukalie motoni kwenye kichwa kwa maana wewe ni agent unapeleka watu huko..

Rakims
 
Ety unifundishe bitcoin

Sasa mm na ww nani anaetafuta hela? Yni mpk unaingia kwenye upumbavu wa bitcoin inaonesha kabisaa huna uliwezalo kufanya zaidi ya kutapeli watu

Ety hlf unisomee nyota? Ivi una akili lkn ww?

Unashindwa kumiliki ata baskeli hlf uje kumiliki nyota pumbavu kabisaaa

Endelea kutapeli wajinga wenzako sio ss tunaojitambua
Umejiona ulivyopunguani?
Dogo hunijui nyamaza...

Rakims
 
Sikilizeni masheikh wanavoeleza sio kudanganywa na watu kma hawa Akina Rakims
Wewe nimekujibu kwa fact unaleta uzushi yani mimi muislam nisitosheke na Quran na Sunnah za mtume nikakae nasikiliza mashehe ambao wanauana wao kwa wao kisa mwezi umeandama au hujaandama?

Dogo itumie vizuri jamii forum..

Ni forum tosha ambayo inaweza kukuamsha kutoka usingizini

Rakims
 
Wewe nimekujibu kwa fact unaleta uzushi yani mimi muislam nisitosheke na Quran na Sunnah za mtume nikakae nasikiliza mashehe ambao wanauana wao kwa wao kisa mwezi umeandama au hujaandama?

Dogo itumie vizuri jamii forum..

Ni forum tosha ambayo inaweza kukuamsha kutoka usingizini

Rakims
Qur-an na Sunna za mtume ndo zinatufundisha tutumie matalasimu?
Hebu nionyeshe aya au hadithi ata moja inotufundisha hivo

Acha kubabaisha watu ww uonekane mwema kumbe mshirikina tu

Wapi mtume katufundisha kutumia Elimu ya nyota/unajimu?

Ukinifundisha aya au hadithi ata moja inotwambia tufanye hayo apo sasa tutakua pamoja la sivyo uache shirki kijana maskini huwezi miliki ata baskeli ety unamiliki nyota hhhhhhhh wajinga tu ndo utawapata
 
Umejiona ulivyopunguani?
Dogo hunijui nyamaza...

Rakims
Kwamba utaniroga na Elimu zako hizo?
Unanitisha nn sasa
Hya tumia nyota zako sasa kuninyamazisha

Watu mumejaa ushirikina,mahirizi ety hlf ndo wamfuata mtume ww

Wajinga ndio waliwao
 
Leo wachungaji wa mchongo kina Mwamposa na mafuta yao tuwapumzishe kidogo tuangalie upande mwengine.

336923133_932706677932030_4425398350988145523_n.jpg
343930075_194729550027513_5680366304643186106_n.jpg
View attachment 2603934

Nimekuwa katika magroup ya tiba naona kuna hivi vikaratasi watu wanapewa ama kuelekezwa kuvichora na wa kuitwa mashehe wakiwaambia ni tiba, ulinzi, kuongeza, mvuto, n.k. niwarahishie tu kwamba huu ni UCHAWI!!

Kama ni ya matibabu ya kiroho kama kurogwa, hakuna anaeweza kutibu zaidi ya Allah bega jwa bega na dua, vifungu, rukya.

Kama ni kwa kujilinda, maandishi au michoro haiwezi kukulinda, Ni imani yako kwa Allah ndiyo inayokulinda pamoja nawe kupiga dua, kunukuu vifungu vyake.

Maneno ya korani hayapo kwajili ya kuchanganywa na michoro ama maneno mengine kwenye kijikaratasi, huo ni ushirikina wa kumshirikisha Allah na vitu vya ajabu ajabu, Allah hawezi kusaidiai hapa bali hayo maneno ya quran yanazuga tu ili ile michoro mingine au maneno ndio vitumike, hayo maneno hata ukimpa muarabu ni ngumu sana kuyatambua, ni lugha za kishetani.

Ukipewa hivi vitu pindi unapotoka tu njiani chana chana kabisa tupa kule visiiingie nyumbani kwako na kama ulibebea mfukoni hio nguo choma kabisa.
Huwezi kuwa sheikh bila kufuga majini ama kufanya uchawi, never. Siwaamini kabisa masheikh na sipendi kudeal nao, washirikina sana.
 
Hii lugha ya kiarabu Ina mahusiano ya Moja kwa Moja na mashetani/ majini, kama mwarabu asingekuja Tanzania na kuleta mbegu za hayo madude ,Tanzania [emoji1241] ingekuwa mbali Sana kiuchumi. Hayo madude hata ukisoma vipi na ukafanikiwa kibiashara wanakurushia kichwani na ndio unakuwa mwisho wa malengo yako
Mwongo mkubwa wewe....

Mwerevu huwa anapenda kujifunza hata kama alikuzwa kuchukia baadhi ya vitu....

Kiarabu ni lugha kama lugha nyingine tu na ulivyo zamwamwa wala hujui kuwa wako waarabu mamilioni WASIOKUWA waislamu na wasiokuwa na dini kabisa......
 
Uchawi ni maarifa, vitabu vya manguli wanaita wisdom.. hapo tunaongelea (magic, alchemy, astrology, occultism, spelling, nk) na maarifa yana vyanzo vyake. Sasa hapo inategemea ni uchawi mzuri au mbaya? Maana hata manabii walikuwa wanatumia uchawi mzuri kuponya watu na kujilinda.
 
Leo wachungaji wa mchongo kina Mwamposa na mafuta yao tuwapumzishe kidogo tuangalie upande mwengine.

336923133_932706677932030_4425398350988145523_n.jpg
343930075_194729550027513_5680366304643186106_n.jpg
View attachment 2603934

Nimekuwa katika magroup ya tiba naona kuna hivi vikaratasi watu wanapewa ama kuelekezwa kuvichora na wa kuitwa mashehe wakiwaambia ni tiba, ulinzi, kuongeza, mvuto, n.k. niwarahishie tu kwamba huu ni UCHAWI!!

Kama ni ya matibabu ya kiroho kama kurogwa, hakuna anaeweza kutibu zaidi ya Allah bega jwa bega na dua, vifungu, rukya.

Kama ni kwa kujilinda, maandishi au michoro haiwezi kukulinda, Ni imani yako kwa Allah ndiyo inayokulinda pamoja nawe kupiga dua, kunukuu vifungu vyake.

Maneno ya korani hayapo kwajili ya kuchanganywa na michoro ama maneno mengine kwenye kijikaratasi, huo ni ushirikina wa kumshirikisha Allah na vitu vya ajabu ajabu, Allah hawezi kusaidiai hapa bali hayo maneno ya quran yanazuga tu ili ile michoro mingine au maneno ndio vitumike, hayo maneno hata ukimpa muarabu ni ngumu sana kuyatambua, ni lugha za kishetani.

Ukipewa hivi vitu pindi unapotoka tu njiani chana chana kabisa tupa kule visiiingie nyumbani kwako na kama ulibebea mfukoni hio nguo choma kabisa.
Tarasimu hizo. Zilimfelisha sana ndogo wangu
 
Mwongo mkubwa wewe....

Mwerevu huwa anapenda kujifunza hata kama alikuzwa kuchukia baadhi ya vitu....

Kiarabu ni lugha kama lugha nyingine tu na ulivyo zamwamwa wala hujui kuwa wako waarabu mamilioni WASIOKUWA waislamu na wasiokuwa na dini kabisa......
Majiuliza tuu, kwa nini watu wakikariri maandishi ya kiarabu na kubobea hatima Yao ni kuuza madawa ya kienyeji nje ya misikiti na wengine kuwa waganga wa kutumia maandishi hayo hayo ya kiarabu?
 
Back
Top Bottom