Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #21
Sawa
π―π€kula kama mwanajeshi aliyepo vitani. Ukilakila Akili itakuwa inalewalewa na utakuwa unawaza kunyakunya au kuwaza ngono.
Wewe graduate hauwezi kuhudumia bora ununue. Kuhudumia ni gharamaTaikon. Ushaur wako ukoje wa kijana graduate(me) anaetaka kwenda kujitegemea ila mzaz kama hatak iv.?lin unatakiwa kuwa na mpnz maan kununua ni hatar mzee.
Huna baya Robert, uko vizuri umetembelea humohumo nilipokua mimi, pia muhimu kuepuka kupata watoto ukiwa bado ground, inakata sana hii
Asante sana kaka
Safi sana! Hizo ni Blueprints how to ball.
Natamani kuuprint wote, nakuufanyia Lamination
Uzi mzuri [emoji106]