Ukienda ugenini Kuna vitoto vinapenda sana sifa

Ukienda ugenini Kuna vitoto vinapenda sana sifa

Sasa kwa mujibu wa maelezo yako! huyo si mwanao? kwahiyo una nidhamu ya uoga sio?" yaani unamuogopa shemeji yako na mtoto pia? hapo si kwako! nakukazaba kibao ukaambie kaache ujinga unasubiri nini? hapo inaonekana we sio baba ni house boy
 
Kwa sababu umepewa ruhusa na Mama yake tia kwenzi mbili tatu katatulia tu
 
Back
Top Bottom