Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Je Kama huna hizo zawadi inakuaje au tuendelee kukaa huku Bukoba tulime mpunga?
Zawadi huleta mapenzi baina ya watu!! Hata kwenye ndoa , mume usirudi mikono mitupu kwa mkeo ifikapo jioni. Beba walau zawadi ndogo ya pipi ,tunda kama apple au hata chupi .Kisha mwambie mkeo kuwa nimeleta hii zawadi kwaajili yako
Utaona jinsi mapenzi ya mkeo yatakavyoongezeka kwako. Kuna watu wakizaa huamishia mapenzi yote kwa watoto zao na kusahau wake zao!! Ukiwabebea watoto zawadi hakikisha na mkeo nae umembebea zawadi yake special.
Huruma sio malezi, mama mkanye mwanao
Utakuwa mmoja wa wanaoenda ugenini mikono mitupu,Badilika mkuu!Aibu hata kwa waliokulea.WEWE NI MJINGA TU NA ULIYEFUNGUA FIKRA ZAKO KWA KUKULIA KIJIJINI NA HUO UALIMU WAKO.
UNAJIKUTA UNA UTASHI WA KUCHAMBUA MAMBO NA HICHO CHETI CHAKO CHA UALIMU
NAKUSHAURI ANDAA MAANDALIO YAKO YA KISWAHILI NA FASIHI NA UACHE KU”GENERALIZE” VITU.
HUKO KWENU MUWE MNABEBA KUKU NA MAHINDI MKITEMBELEANA
WEWE NI MJINGA TU NA ULIYEJIFUNGIA FIKRA ZAKO KWA KUKULIA KIJIJINI NA HUO UALIMU WAKO.
UNAJIKUTA UNA UTASHI WA KUCHAMBUA MAMBO NA HICHO CHETI CHAKO CHA UALIMU
NAKUSHAURI ANDAA MAANDALIO YAKO YA KISWAHILI NA FASIHI NA UACHE KU”GENERALIZE” VITU.
HUKO KWENU MUWE MNABEBA KUKU NA MAHINDI MKITEMBELEANA
Utakuwa mmoja wa wanaoenda ugenini mikono mitupu,Badilika mkuu!Aibu hata kwa waliokulea.
Utakuwa mmoja wa wanaoenda ugenini mikono mitupu,Badilika mkuu!Aibu hata kwa waliokulea.
Beba mkungu wa ndiziJe Kama huna hizo zawadi inakuaje au tuendelee kukaa huku Bukoba tulime mpunga?
Ndo uende mikono mitupu?!!!Siendagi kwa watu au ndugu.
Ndugu zangu na familia yangu ni wale wanaonijali tu.
Ndo uende mikono mitupu?!!!
Acha hizo mkuu,mimi siendi kwa mtu bila zawadi.Wageni wanakujaga kwangu na huwa nawakataza kuleta vitu.
Mana nathamini uwepo wao na siyo vitu wanavyobeba.
utakuwa na njaa sana wewe. Nyie ndo ukisikia fulani anakuja unamuagiza mzigo wa canter aubebe kwa bus sijui mihogo,ndizi, udaga, dagaa na matunda ilii muyale hapo kweny kipindi akiwa anakaa hapo ili asijud kama kuna njaa kwenu