Ukiendekeza mambo ya duniani na woga wake utakufa maskini

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Hebu fikiri huu wizi ambao hautumii nguvu Bali akili tu.

1. Kanisani unapigwa hela kupitia sadaka na micahango mbalimbali wakiita zaka.

2. Mtaani unapigwa kwa michango mbalimbali ama harusi, vifo, sherehe kama mtoto amezaliwa au anabatizwa nk.

3. Serikalini ulipe Kodi napo kwa njia mbalimbali kama una duka au kama mfanyakazi.

4. Ada za shule nk.

Kila pahala imetengenezwa mifumo ya kukukamua. Sasa usijifunze kuikwepa kijanja au kininja utakufa mapema tena kwa njaa wakati unakipatao tena kizuri ila umezungukwa na wanyanganyi in different forms.
 
Watumishi wa umma watumie mbinu gani kukwepa PAYE?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…