Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza kuna lipi la msingi kuhusu Rabge Rover, Gari ambalo nnauhakika ha lipo katika range yako yako ya umiliki.
Halafu, hayo ya msingi unayawasilisha kutumia nini? Makalio au maandishi?
Habari njema kwa klynn mke wa mengi iziNi RANGE ROVER NEW MODEL 2018
- Hii Gari ukikaa ina sense kama umelewa
- inatumia mfumo Wa mafuta pia wese likikata unatumia chaji (ni ya kuchaji kama laptop
- ukiwa kwenye foleni ukikalibia kugonga mbele inapunguza speed yenyewe!
- ukisinzia nayo inazima!
- usipofunga mkanda haiondoki
- ukichomoa betri ukabusti then urudishe haiwaki HADI uwasiliane na RANGE ROVER waifanyie programming
- kamera kama zote
- ukichoka inakuamsha kwa alarm
- mafuta yakikaribia kuisha inakuelekeza Petrol station iliyokaribu na wewe
- fundi akichakachua spear wakati Wa matengenezo inakuambia kwenye screen HAIWAKI
- kifaa kikimaliza mda wake Wa matumizi hata kama ni Break pad inakuambia, na break zikianza kuisha haitembei speed hata ukanyage vipi.
- Ukijamba AC inajiwasha yenyewe (automatic)
- ukikalia siti inaonesha uzito wako
- kukiwa na hitirafu inakuonesha kwenye screen
- ukipotea inayo GPS
- ukipoteza Funguo, hauchongi kariakoo, Bali unawapigia range wanakupa gharama 3mil, then wanakuelekeza ufunguo Wa akiba walipo uficha humohumo kwenye Gari yako!
- ina gia za auto na za manual
- Milango yake haifungi kwa kubamiza kama kabati, Hata ukiusukuma kwa nguvu! haupigi kelele!
- na sifa zinginezo kibao!.
Push to start!!
View attachment 1062571
View attachment 1062694
KIUFUPI HII GARI UKIENDESHA, HALAFU UKAJA KUENDESHA HIZI GARI ZA KAWAIDA UNAWEZA FIKILI UMEKALIA KIBERENGE !!!!
Muongo mkubwa huyohiyo kitunda ulifikaje bila kupitia mbagala au kilwa road? hiyo Raman haioneshi majina? ulikuwa mgeni mjini? SIZAN hata kama kuna kupotea huwezi potea kizembe hivo
oookay!Inaitwa Range Rover Velar ni hatari fire....
Remember, your mind is greatest asset.
hazisogelewagi na boda au daladala hizo wanazijua