Sebago
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 223
- 274
Kasome details yani tarehe na muda wa ile thread ulikotoa taarifa ya Mshana Jr..Uzi wa leo huu wewe, bado wa moto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasome details yani tarehe na muda wa ile thread ulikotoa taarifa ya Mshana Jr..Uzi wa leo huu wewe, bado wa moto.
Kwanza kuna lipi la msingi kuhusu Rabge Rover, Gari ambalo nnauhakika ha lipo katika range yako yako ya umiliki.Weee nae unaacha kuangalia vitu vya msingi unakazana na consonati na herufi
Sent using Jamii Forums mobile app
Weee bibi nae sometime mwezi mchanga bhanaKwanza kuna lipi la msingi kuhusu Rabge Rover, Gari ambalo nnauhakika ha lipo katika range yako yako ya umiliki.
Halafu, hayo ya msingi unayawasilisha kutumia nini? Makalio au maandishi?
Azilete bhana maana ametoa ahadi ni deniAtazitaja yeye subiri au Google tu
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Ikikanyaga bongo tu taa za cheki engine zote zinawaka ha ha ha ha haHi gari ikifika miaka 10 itaaanza kusumbua mpaka utatamani uitupe!! Maan kila mfumo. Utaanza kuchoka.
anazingua sana huyo bibi
Ni RANGE ROVER NEW MODEL 2018
- Hii Gari ukikaa ina sense kama umelewa
- inatumia mfumo Wa mafuta pia wese likikata unatumia chaji (ni ya kuchaji kama laptop
- ukiwa kwenye foleni ukikalibia kugonga mbele inapunguza speed yenyewe!
- ukisinzia nayo inazima!
- usipofunga mkanda haiondoki
- ukichomoa betri ukabusti then urudishe haiwaki HADI uwasiliane na RANGE ROVER waifanyie programming
- kamera kama zote
- ukichoka inakuamsha kwa alarm
- mafuta yakikaribia kuisha inakuelekeza Petrol station iliyokaribu na wewe
- fundi akichakachua spear wakati Wa matengenezo inakuambia kwenye screen HAIWAKI
- kifaa kikimaliza mda wake Wa matumizi hata kama ni Break pad inakuambia, na break zikianza kuisha haitembei speed hata ukanyage vipi.
- Ukijamba AC inajiwasha yenyewe (automatic)
- ukikalia siti inaonesha uzito wako
- kukiwa na hitirafu inakuonesha kwenye screen
- ukipotea inayo GPS
- ukipoteza Funguo, hauchongi kariakoo, Bali unawapigia range wanakupa gharama 3mil, then wanakuelekeza ufunguo Wa akiba walipo uficha humohumo kwenye Gari yako!
- ina gia za auto na za manual
- Milango yake haifungi kwa kubamiza kama kabati, Hata ukiusukuma kwa nguvu! haupigi kelele!
- na sifa zinginezo kibao!.
Push to start!!
View attachment 1062571
View attachment 1062694
KIUFUPI HII GARI UKIENDESHA, HALAFU UKAJA KUENDESHA HIZI GARI ZA KAWAIDA UNAWEZA FIKILI UMEKALIA KIBERENGE !!!!
yapPia ukiwa na pancha inakuonesha utatembea umbali gani kabla ya tairi kuharibika. Umbali huo ukifika inazima
Sent using Jamii Forums mobile app
Maana life span yake imekaribia mwisho hapo ndo. Utasikia Ranger rover 2018 mbovu kumbe muda wa kua bafabarani umeishaIkikanyaga bongo tu taa za cheki engine zote zinawaka ha ha ha ha ha
Halafu mtu anakuambia nauza range new model baada ya miaka 20 kutumikaMaana life span yake imekaribia mwisho hapo ndo. Utasikia Ranger rover 2018 mbovu kumbe muda wa kua bafabarani umeisha
AiseeKwanza kuna lipi la msingi kuhusu Rabge Rover, Gari ambalo nnauhakika ha lipo katika range yako yako ya umiliki.
Halafu, hayo ya msingi unayawasilisha kutumia nini? Makalio au maandishi?
HahahahahaMmamae! hapo umesahau! inaekelea itakuwa inatongoza yenyewe!!!
Kwanza kuna lipi la msingi kuhusu Rabge Rover, Gari ambalo nnauhakika ha lipo katika range yako yako ya umiliki.
Halafu, hayo ya msingi unayawasilisha kutumia nini? Makalio au maandishi?
Mmamae! hapo umesahau! inaekelea itakuwa inatongoza yenyewe!!!
SulphurChemical composition ya ushuzi ina elements ambazo ukizishusha joto, zinakuwa perfume.