Ukiendesha Range rover 2018 uwezekano wa kupata ajali ni mdogo sana!

Ukiendesha Range rover 2018 uwezekano wa kupata ajali ni mdogo sana!

Weee nae unaacha kuangalia vitu vya msingi unakazana na consonati na herufi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kuna lipi la msingi kuhusu Rabge Rover, Gari ambalo nnauhakika ha lipo katika range yako yako ya umiliki.

Halafu, hayo ya msingi unayawasilisha kutumia nini? Makalio au maandishi?
 
  • Hii Gari ukikaa ina sense kama umelewa
  • inatumia mfumo Wa mafuta pia wese likikata unatumia chaji (ni ya kuchaji kama laptop
  • ukiwa kwenye foleni ukikalibia kugonga mbele inapunguza speed yenyewe!
  • ukisinzia nayo inazima!
  • usipofunga mkanda haiondoki
  • ukichomoa betri ukabusti then urudishe haiwaki HADI uwasiliane na RANGE ROVER waifanyie programming
  • kamera kama zote
  • ukichoka inakuamsha kwa alarm
  • mafuta yakikaribia kuisha inakuelekeza Petrol station iliyokaribu na wewe
  • fundi akichakachua spear wakati Wa matengenezo inakuambia kwenye screen HAIWAKI
  • kifaa kikimaliza mda wake Wa matumizi hata kama ni Break pad inakuambia, na break zikianza kuisha haitembei speed hata ukanyage vipi.
  • Ukijamba AC inajiwasha yenyewe (automatic)
  • ukikalia siti inaonesha uzito wako
  • kukiwa na hitirafu inakuonesha kwenye screen
  • ukipotea inayo GPS
  • ukipoteza Funguo, hauchongi kariakoo, Bali unawapigia range wanakupa gharama 3mil, then wanakuelekeza ufunguo Wa akiba walipo uficha humohumo kwenye Gari yako!
  • ina gia za auto na za manual
  • Milango yake haifungi kwa kubamiza kama kabati, Hata ukiusukuma kwa nguvu! haupigi kelele!
  • na sifa zinginezo kibao!.
Ni RANGE ROVER NEW MODEL 2018

Push to start!!
View attachment 1062571
View attachment 1062694
KIUFUPI HII GARI UKIENDESHA, HALAFU UKAJA KUENDESHA HIZI GARI ZA KAWAIDA UNAWEZA FIKILI UMEKALIA KIBERENGE !!!!

Pia ukiwa na pancha inakuonesha utatembea umbali gani kabla ya tairi kuharibika. Umbali huo ukifika inazima


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikikanyaga bongo tu taa za cheki engine zote zinawaka ha ha ha ha ha
Maana life span yake imekaribia mwisho hapo ndo. Utasikia Ranger rover 2018 mbovu kumbe muda wa kua bafabarani umeisha
 
Maana life span yake imekaribia mwisho hapo ndo. Utasikia Ranger rover 2018 mbovu kumbe muda wa kua bafabarani umeisha
Halafu mtu anakuambia nauza range new model baada ya miaka 20 kutumika

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Kwanza kuna lipi la msingi kuhusu Rabge Rover, Gari ambalo nnauhakika ha lipo katika range yako yako ya umiliki.

Halafu, hayo ya msingi unayawasilisha kutumia nini? Makalio au maandishi?
Aisee
 
Kwanza kuna lipi la msingi kuhusu Rabge Rover, Gari ambalo nnauhakika ha lipo katika range yako yako ya umiliki.

Halafu, hayo ya msingi unayawasilisha kutumia nini? Makalio au maandishi?

We nae chizi tu.

'Rabge' Rover ni nini?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom