kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,340
- 12,055
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tazia ya mama Mshana ni ya kitamboo.Uzi wa leo huu wewe, bado wa moto.
Hakuna, hii Range kiboko, hata ukiwa mitungi wakati wa kurudi hone kuna button ya sleeping mode inakupeleka yenyewe mpaka home.Hata Lexus nayo ipo hivyo hivyo ya mjapani
HahahaTutafute hela I see hata mtu ukiondoka dunia uwe na cha kusimulia huko uendako kwamba nilifurahia maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
I know that handwriting!! Hi to you! Its your baby from Kampala.
Hahaa.. Hii haifai mkuu, siwezi kudunduliza vichenji vyangu kwenye kibubu, halafu iniambie hivyo..Umesahau kimoja...ukitaka kugegeda inapiga kelele kuwa humo sio guest
Sent using Jamii Forums mobile app
Inapoza kijamboAsa ukijamba AC ya kazi gani?
Sawa kabisa... karibu modern cars zote sasahizo mambo zipo kwenye hivi viberenge lakini hii chuma hizo mambo hamna! Range rover Vogue new model 2018 ukikaa kwenye siti yenyewe inabalance uzito, na urefu! acha kabisa
Hamna kitu [emoji16][emoji16][emoji1787]I know that handwriting!! Hi to you! Its your baby from Kampala.
Sent from my Huawei Mate X using Tapatalk
Mimi yalimikuta huko mbagala kizuiani, naenda kwenye msina nikaomba location duh lilikuwankosa la karne.....Siku moja natoka kibada kigamboni naelekea chanika, sasa nikasema sitaki kupita darajani mbali huko kuna njia nimeambiwa unatokea mbagara mwanaume nikazana google map kilichonitokea sitasahau. Ilinipeleka hadi kitunda ndani ndani kabisa huko, niliendesha gari hadi taa ya mafuta iliwaka. Imagine nimetoka kibada saa 9 mchana nilifika chanika saa 5 usiku
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaa.. Hii haifai mkuu, siwezi kudunduliza vichenji vyangu kwenye kibubu, halafu iniambie hivyo..
Nitaiomba iniazime pesa ya guest!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu mwenye range atakwenda Mbwite na Zutu kufanya nini?Sasa mkuu, Tanzania tuko nyuma sana kwenye ku_tracy location mfano upo Mbwinde na zutu limekata itatumia nini kufahamu kituo cha mafuta killipo wakati 2G yenyewe hakuna kule.
Na hayo mamifumo kama yote mamionzi yake yana athari gani kwa mwili wa binadamu kwa sababu yanajua hadi vijambo si ndo kufa tafatibu huko?
I third you!!!
Kama IST inatongoza yenyewe,hii nahisi itakuwa inakupa Hadi detail za demu kabisa kama analiwa tope,siku hyo wewe NI wangapi kumla,ana msambwanda wa kichina au defaultMmamae! hapo umesahau! inaekelea itakuwa inatongoza yenyewe!!!
Huko tunakoenda utamuhadithia nani Sir God??? au bwn Satan do you think your story will make sense!!!?Tutafute hela I see hata mtu ukiondoka dunia uwe na cha kusimulia huko uendako kwamba nilifurahia maisha
Sent using Jamii Forums mobile app