Ukiendesha Range rover 2018 uwezekano wa kupata ajali ni mdogo sana!

Ukiendesha Range rover 2018 uwezekano wa kupata ajali ni mdogo sana!

Siku moja natoka kibada kigamboni naelekea chanika, sasa nikasema sitaki kupita darajani mbali huko kuna njia nimeambiwa unatokea mbagara mwanaume nikazana google map kilichonitokea sitasahau. Ilinipeleka hadi kitunda ndani ndani kabisa huko, niliendesha gari hadi taa ya mafuta iliwaka. Imagine nimetoka kibada saa 9 mchana nilifika chanika saa 5 usiku

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi yalimikuta huko mbagala kizuiani, naenda kwenye msina nikaomba location duh lilikuwankosa la karne.....
 
Sasa mkuu, Tanzania tuko nyuma sana kwenye ku_tracy location mfano upo Mbwinde na zutu limekata itatumia nini kufahamu kituo cha mafuta killipo wakati 2G yenyewe hakuna kule.

Na hayo mamifumo kama yote mamionzi yake yana athari gani kwa mwili wa binadamu kwa sababu yanajua hadi vijambo si ndo kufa tafatibu huko?
Mtu mwenye range atakwenda Mbwite na Zutu kufanya nini?
 
Eko system inaitwa,sio maelekezo kibao
Ukijamba pia inakwambia "mmm umejamba "
 
Back
Top Bottom