usinijibu hivyo
JF-Expert Member
- Nov 7, 2017
- 248
- 327
Wewe kiboko aisee duMmamae! hapo umesahau! inaekelea itakuwa inatongoza yenyewe!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kiboko aisee duMmamae! hapo umesahau! inaekelea itakuwa inatongoza yenyewe!!!
Hahahaha hiii mbona hata sisi wenye PORTE inafanya aisee ,unashusha tu kioo unaita dada unaenda wapi ,unaona huyo anang'ata vidoleMmamae! hapo umesahau! inaekelea itakuwa inatongoza yenyewe!!!
🧐alafu nasikia hiyo gari ikipita kwenye matope au maji mengi inajipunguza uzito alafu inaanza kuelea
Sent usingJamii Forums mobile app
okay!Vogue ya 2018 new model
😱😱😱Ndio, wewe endelea kunusa tu huko nyuma ukijashtuka asubuhi inabidi uamke na hang over
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pia ukiwa na njaa inakukumbusha kula, ukitaka kusali yenyewe inaadhini ukiwa muislam ukiihifadhi jina la mpenzi wako basi na yenyewe inakukubusha ukimsahau
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] We jamaaabongo ukitumia GPS unaweza kuishia ziwa mwananyamala
View attachment 1062583
Sasa mkuu, Tanzania tuko nyuma sana kwenye ku_tracy location mfano upo Mbwinde na zutu limekata itatumia nini kufahamu kituo cha mafuta killipo wakati 2G yenyewe hakuna kule.
Na hayo mamifumo kama yote mamionzi yake yana athari gani kwa mwili wa binadamu kwa sababu yanajua hadi vijambo si ndo kufa tafatibu huko?
Mkuu ile kampuni yetu ya mafuta na gesi vip bado inapokea wawekezaji, ulitukimbia mzee baba kwenye uzi...tupo tayar tunataka tuwekeze...Siku moja natoka kibada kigamboni naelekea chanika, sasa nikasema sitaki kupita darajani mbali huko kuna njia nimeambiwa unatokea mbagara mwanaume nikazana google map kilichonitokea sitasahau. Ilinipeleka hadi kitunda ndani ndani kabisa huko, niliendesha gari hadi taa ya mafuta iliwaka. Imagine nimetoka kibada saa 9 mchana nilifika chanika saa 5 usiku
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukijamba AC inajiwasha yenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]imebakisha tu kutoa penzi ukiwa na ashiki
Jr[emoji769]