Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei sio tatizo,akutajie kwanza gharama ya kuikomboa Bandarini na ukiwa na hii gari Bashite lazima akuweke kwenye list ya Wauza Ngada kama si ya Mashoga
Hiyo gari kuimiliki inabidi uwe na ujasiri wa kuwa muhujumu uchumi..[emoji23][emoji23]Ukijamba AC inajiwasha yenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]imebakisha tu kutoa penzi ukiwa na ashiki
Jr[emoji769]
Sasa hapo tena, si unoko huo ?Umesahau kimoja...ukitaka kugegeda inapiga kelele kuwa humo sio guest
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usiogope bei ya hio gari....ukikamatwa na trafiki inamalizana nae yenyewe wewe umetulia tu ndani unakula kiyoyozi huku unasikiliza nyimbo mpya ya baba diamond.Bei sio tatizo,akutajie kwanza gharama ya kuikomboa Bandarini na ukiwa na hii gari Bashite lazima akuweke kwenye list ya Wauza Ngada kama si ya Mashoga
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuuu niNi RANGE ROVER NEW MODEL 2018
- Hii Gari ukikaa ina sense kama umelewa
- inatumia mfumo Wa mafuta pia wese likikata unatumia chaji (ni ya kuchaji kama laptop
- ukiwa kwenye foleni ukikalibia kugonga mbeli inapunguza speed yenyewe!
- ukisinzia nayo inazima!
- usipofunga mkanda haiondoki
- ukichomoa betri ukabusti then urudishe haiwaki HADI uwasiliane na RANGE ROVER waifanyie programming
- kamera kama zote
- ukichoka inakuamsha kwa alarm
- mafuta yakikaribia kuisha inakuelekeza Petrol station iliyokaribu na wewe
- fundi akichakachua spear wakati Wa matengenezo inakuambia kwenye screen HAIWAKI
- kifaa kikimaliza mda wake Wa matumizi hata kama ni Break pad inakuambia, na break zikianza kuisha haitembei speed hata ukanyage vipi.
- Ukijamba AC inajiwasha yenyewe (automatic)
- ukikalia siti inaonesha uzito wako
- kukiwa na hitirafu inakuonesha kwenye screen
- ukipotea inayo GPS
- ukipoteza Funguo, hauchongi kariakoo, Bali unawapigia range wanakupa gharama 3mil, then wanakuelekeza ufunguo Wa akiba walipo uficha humohumo kwenye Gari yako!
- ina gia za auto na za manual
- Milango yake haifungi kwa kubamiza kama kabati, Hata ukiusukuma kwa nguvu! haupigi kelele!
Push to start!!
View attachment 1062571
KIUFUPI HII GARI UKIENDESHA, HALAFU UKAJA KUENDESHA HIZI GARI ZA KAWAIDA UNAWEZA FIKILI UMEKALIA KIBERENGE !!!!
Muwage mnasoma tarehe na muda wa nyuzi mnazozifungua.. Madhara yake ndo kama haya sasa...Mfiwa unachat [emoji849] au tumelishwa kasa. Pole bro
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimewaza hiyo sensor inasense vipi au speed ya kile kinachokuja [emoji848]Kama hyo Tesla hapo imesimama baada ya kusensi collision
Uzi wa leo huu wewe, bado wa moto.Muwage mnasoma tarehe na muda wa nyuzi mnazozifungua.. Madhara yake ndo kama haya sasa...
Duhhhbongo ukitumia GPS unaweza kuishia ziwa mwananyamala
View attachment 1062583