witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Umesahau kimoja...ukitaka kugegeda inapiga kelele kuwa humo sio guest
- Hii Gari ukikaa ina sense kama umelewa
- inatumia mfumo Wa mafuta pia wese likikata unatumia chaji (ni ya kuchaji kama laptop
- ukiwa kwenye foleni ukikalibia kugonga mbeli inapunguza speed yenyewe!
- ukisinzia nayo inazima!
- usipofunga mkanda haiondoki
- ukichomoa betri ukabusti then urudishe haiwaki HADI uwasiliane na RANGE ROVER waifanyie programming
- kamera kama zote
- ukichoka inakuamsha kwa alarm
- mafuta yakikaribia kuisha inakuelekeza Petrol station iliyokaribu na wewe
- fundi akichakachua spear wakati Wa matengenezo inakuambia kwenye screen HAIWAKI
- kifaa kikimaliza mda wake Wa matumizi hata kama ni Break pad inakuambia, na break zikianza kuisha haitembei speed hata ukanyage vipi.
- Ukijamba AC inajiwasha yenyewe (automatic)
- ukikalia siti inaonesha uzito wako
- kukiwa na hitirafu inakuonesha kwenye screen
- ukipotea inayo GPS
- ukipoteza Funguo, hauchongi kariakoo, Bali unawapigia range wanakupa gharama 3mil, then wanakuelekeza ufunguo Wa akiba walipo uficha humohumo kwenye Gari yako!
- ina gia za auto na za manual
- Milango yake haifungi kwa kubamiza kama kabati, Hata ukiusukuma kwa nguvu! haupigi kelele!
Ni RANGE ROVER NEW MODEL 2018
Push to start!!
View attachment 1062571
KIUFUPI HII GARI UKIENDESHA, HALAFU UKAJA KUENDESHA HIZI GARI ZA KAWAIDA UNAWEZA FIKILI UMEKALIA KIBERENGE !!!!
Sent using Jamii Forums mobile app